Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #801
Nipo kijijini mda huu karibu kwetu mpwayungu tupo mtaa wa Kati uliza Kwa masinjisa au Kwa aloyceNimeshafika kijiji cha mpwayungu, kule watu wanakula maboga, karanga mbichi, matango ya kienyeji, mahindi ya kuchoma/ kuchemsha, fulu n.k, vyote vya asili yaani watu wako fiti balaa, mtu ana miaka 30, watoto 15, sipati picha Mkuu mpwayungu ungekua kule kwenu sasa hivi, ungekua umechakaa kiasi gani...[emoji23][emoji23]
Hata sasa hivi unaweza kuwa mwanamke ni wewe kuamua tu.Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Naona ame like kabisa kwahiyo nahisi ushauri wako ataufanyie kazi vizurFanya hivi:
Nenda pale ubalozi wa Marekani. Kawaambie kuwa wewe kihisia ni mwanamke na kwamba unahitaji kubadilisha jinsia uwe mwanamke. Tafuta na makaratasi ya kufoji kutoka kwa madaktari kuonyesha una homoni nyingi za kike na Testosterone kiduchu sana.
Waambie hapo ubalozini kuwa Tanzania unateswa sana na maisha yako yamo hatarini; na kwamba ili kuokoa maisha yako inabidi ukimbilie Marekani. Tafuta na RB za polisi za uwongo kwamba ulishawahi kupigwa karibia ufe baada ya kufumwa umevaa gauni ukidengua badala ya suruali.
Kwa vile maisha yako yamo hatarini waambie wakuunganishe na NGO mojawapo inayoshughulika na mambo ya mashoga. Hawa watakulipia nauli kwenda Marekani.
Ukifika huko anza mchakato wa kujibadilisha kuwa mwanamke. Utafakamia mavidonge na sindano za homoni za kike. Ndevu zitapukutika, sauti itabadilika na kuwa ya kike na vititi vitaanza kuota. Abdallah kichwa naye ataanza kusinyaa pamoja na wenzake na hata ma bashite yako yataanza kukua na hips kupanuka...
Kama hiyo NGO yako itakuwa tayari kukulipia, au kama wewe mwenyewe utakuwa na hela zako basi anza mchakato wa operesheni ya kubadili jinsia yako kuwa ya kike. Operesheni hii ni ghali kidogo na inakwenda hatua kwa hatua na gharama zake ni kati ya dola za Kimarekani 20K - 100K+. Watatoa mfumo wote wa uzazi wa kiume na kuweka wa kike na ukija kurudi Bongo utakuwa bonge ya pisi kiasi kwamba utakuwa unatongozwa usiku na mchana na hakuna atakayejua kuwa huko nyuma uliwahi kuwa Mpwayungu Village. Sasa si ajabu utakuwa unajiita Mpwayungulicious......
Changamka sasa hivi kabla ma Democrats akina Biden hawajaondoka madarakani maana akija kuingia Trump au De Santis mwaka kesho haitakuwa rahisi maana ma Republican hawashobokei mambo ya ushoga na huu upuuzi wa LGBTQ...na kupata visa kwa sababu hiyo haitakuwa rahisi.
Kila la heri mkuu...
Na kila mwalimu na aseme Aaaamen! [emoji16]
View attachment 2564758
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman nyie watu mmmmh.Uzi wake umekuwa kama hakikisho la dhana ya wengi juu ya huyo jamaa.
Alishaonyesha kila hulka za kike katika maandiko yake. Mengi yalikuwa na mrengo wa kutaka attention ikiwa ni moja ya trait kubwa ya watu wenye tabia za kike.
Anyways ni maisha yake hakuna wa kumpangia japo sasa kaweka wazi upande wake ni upi. cocastic mpe guidance jamaa jinsi ya kuishi pasi kukera watu na chaguzi ya maisha yake.
Mengi gan tenaa?? Lol[emoji87][emoji87][emoji848][emoji848] Naomba utusaidie kumfungua huyu Jamaa naamini ana MENGI...
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]OyaFanya hivi:
Nenda pale ubalozi wa Marekani. Kawaambie kuwa wewe kihisia ni mwanamke na kwamba unahitaji kubadilisha jinsia uwe mwanamke. Tafuta na makaratasi ya kufoji kutoka kwa madaktari kuonyesha una homoni nyingi za kike na Testosterone kiduchu sana.
Waambie hapo ubalozini kuwa Tanzania unateswa sana na maisha yako yamo hatarini; na kwamba ili kuokoa maisha yako inabidi ukimbilie Marekani. Tafuta na RB za polisi za uwongo kwamba ulishawahi kupigwa karibia ufe baada ya kufumwa umevaa gauni ukidengua badala ya suruali.
Kwa vile maisha yako yamo hatarini waambie wakuunganishe na NGO mojawapo inayoshughulika na mambo ya mashoga. Hawa watakulipia nauli kwenda Marekani.
Ukifika huko anza mchakato wa kujibadilisha kuwa mwanamke. Utafakamia mavidonge na sindano za homoni za kike. Ndevu zitapukutika, sauti itabadilika na kuwa ya kike na vititi vitaanza kuota. Abdallah kichwa naye ataanza kusinyaa pamoja na wenzake na hata ma bashite yako yataanza kukua na hips kupanuka...
Kama hiyo NGO yako itakuwa tayari kukulipia, au kama wewe mwenyewe utakuwa na hela zako basi anza mchakato wa operesheni ya kubadili jinsia yako kuwa ya kike. Operesheni hii ni ghali kidogo na inakwenda hatua kwa hatua na gharama zake ni kati ya dola za Kimarekani 20K - 100K+. Watatoa mfumo wote wa uzazi wa kiume na kuweka wa kike na ukija kurudi Bongo utakuwa bonge ya pisi kiasi kwamba utakuwa unatongozwa usiku na mchana na hakuna atakayejua kuwa huko nyuma uliwahi kuwa Mpwayungu Village. Sasa si ajabu utakuwa unajiita Mpwayungulicious......
Changamka sasa hivi kabla ma Democrats akina Biden hawajaondoka madarakani maana akija kuingia Trump au De Santis mwaka kesho haitakuwa rahisi maana ma Republican hawashobokei mambo ya ushoga na huu upuuzi wa LGBTQ...na kupata visa kwa sababu hiyo haitakuwa rahisi.
Kila la heri mkuu...
Na kila mwalimu na aseme Aaaamen! [emoji16]
View attachment 2564758
Asante Kwa ushauri wako mkuuHata sasa hivi unaweza kuwa mwanamke ni wewe kuamua tu.
Ila wewe ni mjinga na una akili za umasikini kuogopa majukumu vijana wa aina yako ni mzigo kwa familia, nchi na dunia kwa ujumla
Because the woman came from the man. The man never came from the woman but from God.Mwanaume ana gametes X,Y
Hivyo ndani ya mwanaume kuna Mwanamke.
Ila ndani ya Mwanamke hakuna mwanaume.
Sema nini, unajua kucheza na Akili za Watu humu Ndani. Unachohitaji ni attention na mapovu ya Watu.[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kis...nge. Ule uzi nikikumbuka huwa nacheka sanaUsikute pwayungu ndio yule aliyeshikwa tako na lekcha ofisini
Ule uzi upowapi
Usimalize maneno yote kaka ,,,,bila mwanamke usingezaliwa ww shukuru tu Mungu umezaliwa wa kiume bila kudharau jinsia maana ata sisi wanawake tunajivunia kuwa wanawake na tuna mchango mkubw kwa mwanaume na nyie mna mchango mkubwa kwetu ,,,Mimi Kama ningepewa fursa ya kuchagua Kati ya kuzaliwa mwanamke au kuzaliwa mbwa Bora ningechagua kuwa mbwa.
Aisee kuwa mwanamke Ni shughuli pevu Sana.
A
Daah, maneno huumba ndugu yangu, be careful!Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Like really for real?!!!Mwanamke anafaidi sana tendo la ndoa kuliko mwanaume, hawa watu wakifika kwenye orgasm huwa wapo mrua mwaka mzima
Nenda wewe na demu wako Kariakoo mkaibe simu, halafu utajua kwann wewe uchomwe Moto ila demu wako anapelekwa polisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usikute pwayungu ndio yule aliyeshikwa tako na lekcha ofisini
Ule uzi upowapi