Ang'ang'amie bhana...........awe king'ang'anizi kama tule tu - inzi tunato taka kuingia masikioni wakati jua kaliiiii..
SnowBall umeamkaje leo ?????????unataka mwenzio aende 30yrs eeeeeeeeeeeee mwambie hivyo vitundu viko vingi sana hata bata ,kuku,mende wanavyi ng'ombe,mbuzi,nguruwe so aijitafutie matatizo!!!
HorsePower hujambo wewe hivi nivea yuko wapi siku hizi?
Hawa watoto wamefanya mapenzi kama kazi..kwamba ukiikosa unalala njaa!!
Kama mtu hakuzimii si unalianzisha kwingine..sasa yeye anakuja kulialia hapa bana!
hahahahah HorsePower mzima wa afya wewe???????Mi niko vizuri, rafikiyako nivea nahisi kapigwa ban hivyo yeye huwa ana pita pita kusoma thread bila kuchangia!
watoto wa siku hizi mna mambo. sasa umemtongoza mkaka kakukatalia jua kwamba ndo inavyouma wewe unapomkatalia mwenzio anapokutongoza. kumbe inauma kwa wadada lkn kwa wakaka haiumi eeh!
Nimempenda kaonesha dalili kunikubali,lakin kanitolea nje.nimfanye nn?
Nitakununulia usijali unaonaje nikiongeza na chakula ikawa dinner kabisa
Kama una uwezo wa dinner kwa nini basi usiwe mtoko kabisa??...
Ndo maana yake maana nilidhani utasema "Savanah" nikaogopa kama ni hiyo Cola unapata Dinner kabisa