Elections 2010 Nakaaya ana hali gani?

Mwambieni arudi kundini ila atubu afu abatizwe upya!!
 
PakaJimmy hebu nipe info. Huyu Nakaya Sumary alikuwa Chadema, kuna kipindi nilisikia katimkia CCM. Sasa pole ya nini?
 
Mwanga na giza huwa havichangamani, afadhali alijiondoa mapema kuliko angekuja kutuchafulia hewa baadae.......Nakaaaya, kafie mbele! hiloooooo! Mafisadi! Piga chini! Wezi! Piga chini! Majambazi! Piga chini!
 
PakaJimmy hebu nipe info. Huyu Nakaya Sumary alikuwa Chadema, kuna kipindi nilisikia katimkia CCM. Sasa pole ya nini?
Pole ni kama hivyohivyo, kuwa amekikimbia chama chenye Neema na kwenda kwenye chama la MAJAMBAZI!
Na ikumbukwe kuwa huyu dada alikuwa mwanaharakati mzuri sana hasa kwa nyimbo na kauli zake!
 
Mkuu PJ
unajua kitu kinachowashobokeza mabinti wasiofundwa vyema ni MPINI.
sasa ameona matokeo yanavyompelekesha puta buzi lake.

USALITI ni jambo baya sana


Ina maana muungwana alisharekebisha pale?
 
Atajuuta kuganga njaaa.........na itabidi arudie uwe wimbo wake wa mr.politician...........nyambafuuuuuuuu.........
 
Mwana mpotevu aliporudi alikaribishwa, dada unakubali ww ni mwana Mpotevu? Kama unajua hivo basi acha kushiriki chakula na nguruwe rudi nyumbani kwa baba yako.
 
Huyo nakaaya kazoea kudanganywa. Jamaa wa mkataba wa sony alikula akapiga chini. Ccm nao wamekula na watampiga chini. Wasanii na mashabiki wake nao wamtose akafie mbele
 
Mhhh! pole ya nguvu, ulipoimba POLITICIAN ulidhani mzaha? wimbo ni tofauti na reality. Huyu mkwere kweli kakuweza mama.
 
:sad: I wish Ningekuwa na Nakaaya sasa hivi ili nimkumbatie coz I think she needs me right now.
 
:A S cry: I wish ningekuwa naye sasa hivi ili nimkumbatie coz I think she needs me right now.
 
ndiyo mambo ya kutangatanga, ccm umemuonga arudi kwao sasa anajutia koma ukomae:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…