ALIASESHapa mbona kama unaongea mwenyewe? Sijaokota kitu
Mshana wale watu watano ,wakiwemo matajiri wawili na yule kijana Suleman Dawood waliokuwa wakienda kufanya utalii kwenda chini ya bahari kuona mabaki ya Titanic na nyambizi ndogo wamekufa natural death au kunasehemu wameenda? na wako hai ,,hebu bashiri ndugu yangu,hiki kisa kinanichanganya sana hasa yule kijana mdogo aliesita kwenda kutalii akaona asimkwaze baba yake,kisha akajaa mtegoniMamlaka ya Goetia
Kiasi chao kikubwa cha uwezo na hadhi ya uongozi miongoni mwa pepo wadogo pia humpa kila Goetia mamlaka ya kutoa amri juu ya nguvu nyingine za Lusifa ndani ya Kuzimu.
Lusifa mwenyewe ana uhakika wa kutosha wa uwezo wa Ars Goetia kuwatuma kwenye misheni inayoweza kuwa hatari, kama vile kukusanya habari katika Ulimwengu wa Binadamu, kupigana na malaika wenye nguvu kama Seraphim peke yao na kutafuta vitu ambavyo vitamnufaisha Mfalme wa Kuzimu au hata kuharibu. mambo fulani ambayo yanaweza kuwa kikwazo.
Cha kushangaza, wengi wa Ars Goetia sio pepo safi, lakini kwa uhakika walikuwa malaika walioanguka ambao waliasi pamoja na Lusifa wakati wa Vita vya Mbinguni.
Heshima ya Lusifa na hata kujali Ars Goetia inaonekana katika namna yake ya kuwahutubia, mara nyingi akiwataja kama "ndugu zangu wapendwa" au "wapendwa wangu walioanguka". Ingawa wote ni waaminifu kabisa kwa Lusifa, zaidu ya waaminifu pia wanamwogopa kwa busara sana hivi kwamba wanakaribia kutamani kukataa kumfuata.
Lusifa mwenyewe anajulikana kuwa mkali na mkatili kwao ikiwa watashindwa katika kazi fulani, lakini hana huruma kabisa kwani anachagua kuwaepusha na adhabu ya kikatili tofauti na Shetani.
ANGALIZO:
Kuna badhi ya maandiko usiyasome kwa kukurupuka! Maana yanaweza kuyumbisha imani yako
Ukimsoma mfalme Suleiman kwenye Ars Goetia na Mfalme Suleiman kwenye Bible kuna vitu vya kutisha kama si kushangaza utavigundua
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale walienda kuzimu na kuna mahali wakakosea kidogo! Hawawezi kurudi tena, kile kina walichoenda sio level za binadamuMshana wale watu watano ,wakiwemo matajiri wawili na yule kijana Suleman Dawood waliokuwa wakienda kufanya utalii kwenda chini ya bahari kuona mabaki ya Titanic na nyambizi ndogo wamekufa natural death au kunasehemu wameenda? na wako hai ,,hebu bashiri ndugu yangu,hiki kisa kinanichanganya sana hasa yule kijana mdogo aliesita kwenda kutalii akaona asimkwaze baba yake,kisha akajaa mtegoni
Naam SheikhKumekucha kumekuchaaa
Mshana wale watu watano ,wakiwemo matajiri wawili na yule kijana Suleman Dawood waliokuwa wakienda kufanya utalii kwenda chini ya bahari kuona mabaki ya Titanic na nyambizi ndogo wamekufa natural death au kunasehemu wameenda? na wako hai ,,hebu bashiri ndugu yangu,hiki kisa kinanichanganya sana hasa yule kijana mdogo aliesita kwenda kutalii akaona asimkwaze baba yake,kisha akajaa mtegoni
Two of the most important submersible parts being found means that the submersible has fragmented. No any explanation can sound better than this.Kwahiyo hawa watu wa nyambizi walio potea na hata aujulikani hata unywele wao ulipo kumbe wamekufa kwa hii kitu ya kwenda kutembea kuzimu eeh
Ngoja Mshana Jr aje,tutajua tu ukweliKwahiyo hawa watu wa nyambizi walio potea na hata aujulikani hata unywele wao ulipo kumbe wamekufa kwa hii kitu ya kwenda kutembea kuzimu eeh
Ebhana eeeh,noma sana,kifupi wamedakwa,nasikia baharini walipoenda kuna giza tororoWale walienda kuzimu na kuna mahali wakakosea kidogo! Hawawezi kurudi tena, kile kina walichoenda sio level za binadamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Two of the most important submersible parts being found means that the submersible has fragmented. No any explanation can sound better than this.Ngoja Mshana Jr aje,tutajua tu ukweli
Kwa kina walichokuwepo sio giza totoro tu bali hata nguvu ya uvutano iliyopo huko ni kubwa kupita maelezoEbhana eeeh,noma sana,kifupi wamedakwa,nasikia baharini walipoenda kuna giza tororo
Ila hawa jamaa walitegwa hukuhuku.duniani na wawindaji haramu toka kuzimu ambao hurandaranda dunia ya wanadamu kutafuta vipaji vya kupeleka kuzimuKwa kina walichokuwepo sio giza totoro tu bali hata nguvu ya uvutano iliyopo huko ni kubwa kupita maelezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee bandari iuzwe tu, namna hii hapanaShalom
Mama mkwe kanifuata chumbani kwangu akawa anagombana na mimi kama vile anataka kupigana na mimi, mimi nikaona nitoke niende sebuleni bado akawa anifuata kufika sebuleni nikamkuta mume wangu nikasimama mamkwe akaja akashika mkono wangu wakulia akaupitisha makalioni kwake nikauvuta mkono wangu lkn ulitoka ukiwa na mavi
Nadhani hii pia ndio ilikuwa sababu kuu mojawapo kukosona na Mungu wake alifikia hatua ya kusema kuwa hekima yote aliyonayo ameipata kwa miungu yake na wala si Mungu.Mapepo 72 ya Ars Goetia
View attachment 2665914
Je mnaikumbuka hii mada?
Ufahamu uchawi wa Sigil
Unaweza kuita uchawi au ushirikina lakini sigils ni alama za kishetani ambazo ukizichanga kwa kufuata mifumo yake hukupa matokeo unayotaka iwe ni kwenye ishu za mapenzi ngekewa bahati mali umaarufu nk Ukiangalia huo uso hapo una point zote muhimu za sigils lakini ya muhimu sana ni point no moja...www.jamiiforums.com
Uchawi wa Sigil asili na nguvu yake iko kwenye hayo mapepo 72 na huu sio uchawi wa kiafrika bali ni uchawi ambao aliutumia mfalme Suleiman mbarikiwa wa Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Agares ni pepo anayepatikana katika grimoires kama vile Ufunguo Mdogo wa Solomon na Grand Grimoire. Inasemekana anaweza kusababisha matetemeko ya ardhi. Wazee wa grimoires pia wanasema anasababisha watu waliotoroka kurudi kwenye jeshi la watu anaowalinda, na anaweza kuwafanya watu kukimbia au kuwarudisha waliokimbia. Licha ya kuwa na nguvu hizo za kutisha roho hii inasemekana kuonekana katika hali ya amani na utulivu. Ufunguo Mdogo unamworodhesha kama Duke wa kuzimu, na kumkabidhi sayari ya Venus na shaba ya chuma. Picha hii ya Agares inapatikana katika Dictionnaire Infernal ya 1863 na ilipakwa rangi na timu ya sanaa. Haya hapa maelezo yake katika Dictionnaire Infernal...Complication[emoji16][emoji41][emoji41][emoji120][emoji474][emoji474][emoji474][emoji474][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Tumeongeza elimu wengi hapa! Kumbe ni Bael,,, (wakatafsiri kiswahili "Baali!")Sasa nimeelewa kuhusu baali, nimekua nikisoma kwenye Biblia kuhusu Eliya na manabii wa baali sikuwahi kujua tafsiri ya baali. Asante