Nakaribia kununua pikipiki kampuni gani nzuri kwa mishe za mtaani?

Nakaribia kununua pikipiki kampuni gani nzuri kwa mishe za mtaani?

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,601
Reaction score
1,172
Nipo vijijini, nimemaliza chuo 2018 ualimu nilisota mwaka 1 nimesaidia fundi beba zege gafla nikapata mchongo private japo salary inasua sua Lakin nashukuru Mungu

Mwaka huu nikajiongeza na kamera na wakala free Lansa wa laini vijijini siku za wikiend

Kutokana na mizunguko yangu natumia Baiskeli nashindwa kuvifikia vijiji Vinginevyo ambavyo Kuna soko la picha pia

Nimeona bora nikusanye pesa ninunue pikipiki ili niongezee ufanisi kwenye harakati zangu wikiend
Nb kila wikiend vijiji viwili naingia 70000 lakini pia nafuga ngurue wa kisasa ili kuongeza pesa

Tafadhali pikipiki imara ni kampuni gani.
 
Nunua Triumph Rocket bro maana ni kiboko na ina speed ya ajabu. Hii hata akhera (kwa mungu) inakufikisha kwa bure kabisa.

images (4).jpeg
 
Chukua Boxer... Tofauti ya bei ya vipuli ni ndogo sana tofauti na watu wanavozani ila hazina matatizo mengi muhimu kuzingatia ni kubadili oil na oil filter kwa wakati....!

Houjue zimeadimika na wezi wanazitamani sana kwa kua zina soko la haraka tofauti na brand nyingine...!
 
Nunua Triumph Rocket bro maana ni kiboko na ina speed ya ajabu. Hii hata akhera (kwa mungu) inakufikisha kwa bure kabisa.

View attachment 1979676
Kuna pikipiki zinataka kuwa na muundo kama hizo cc 125 kwa 150 unaweza kujua zinapatikana wapi? Na bei zake zipoje nazikubali sana kuzurulia hapo kwa kina mwajuma n'chokonoe
 
Kuna pikipiki zinataka kuwa na muundo kama hizo cc 125 kwa 150 unaweza kujua zinapatikana wapi? Na bei zake zipoje nazikubali sana kuzurulia hapo kwa kina mwajuma n'chokonoe
"n'chokonoe"[emoji849]
 
Kuna pikipiki zinataka kuwa na muundo kama hizo cc 125 kwa 150 unaweza kujua zinapatikana wapi? Na bei zake zipoje nazikubali sana kuzurulia hapo kwa kina mwajuma n'chokonoe
Kaburu zinapatikana kwa wingi sana, ila bongo silifahamu chaka lake mkuu.
 
Back
Top Bottom