Nakaribisha Partner/Mdau Biashara ya Pharmacy na VifaaTiba Katoro-Geita

Nakaribisha Partner/Mdau Biashara ya Pharmacy na VifaaTiba Katoro-Geita

Druggist

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
439
Reaction score
528
Wakuu Salama??
Nina Eneo ambalo nimepambana Kujenga Kwa ajili ya Biashara ya Pharmacy na Vifaa Tiba. Lipo kwenye Finishing. Nahitaji mbia/Business partners ambaye tunaweza Kuingia Makubaliano ya Kuendesha biashara hii ya Dawa na Vifaa Tiba.

Eneo linatazamana na Kituo Cha Afya Katoro. Aidha Nina uzoefu na Elimu ya Kuendesha biashara hii kuanzia Rejareja na Jumla, pia nimeifanya Kazi hii Serikalini, NGO na Makampuni binafsi nikiwa Mfamasia na msimamizi wa miradi. Njoo tujadili na Kukubaliana. Uje na Pesa na kama una ujuzi wa ziada kama uhasibu au Utawala itapendeza.Namba zangu ni 0786258617.
 

Attachments

  • IMG_20240515_145102.jpg
    IMG_20240515_145102.jpg
    4.6 MB · Views: 41
  • IMG_20240315_183223.jpg
    IMG_20240315_183223.jpg
    632.6 KB · Views: 33
  • IMG_20240218_123123.jpg
    IMG_20240218_123123.jpg
    11.4 MB · Views: 38
Wakuu Salama??
Nina Eneo ambalo nimepambana Kujenga Kwa ajili ya Biashara ya Pharmacy na Vifaa Tiba. Lipo kwenye Finishing. Nahitaji mbia/Business partners ambaye tunaweza Kuingia Makubaliano ya Kuendesha biashara hii ya Dawa na Vifaa Tiba.

Eneo linatazamana na Kituo Cha Afya Katoro. Aidha Nina uzoefu na Elimu ya Kuendesha biashara hii kuanzia Rejareja na Jumla, pia nimeifanya Kazi hii Serikalini, NGO na Makampuni binafsi nikiwa Mfamasia na msimamizi wa miradi. Njoo tujadili na Kukubaliana. Uje na Pesa na kama una ujuzi wa ziada kama uhasibu au Utawala itapendeza.Namba zangu ni 0786258617.
upo wapi tujadiliane
 
Back
Top Bottom