La Simba dhidi ya utopoloLa Azizi Ki dhidi ya Makolo lilistahili..
Au lile la Azizi Ki dhidi ya Simba! Bonge Moja la goliLa Simba dhidi ya utopolo
Weka video tulione....mkia..Aisee utoaji wa tuzo una changamoto sana, nakataa goli alilofunga Mayele na kutwaa tuzo sio bora msimu huu, kusema lile goli alilofunga Maguri ni baya? Lile goli la Ntibazonkiza akiwa Geita ni baya? Goli alilofunga Sakho vs Singida ni baya? Je goli la Ilanfya lililoshindanishwa na la Mayele limezidiwa kiwango na lile la Mayele, hapana, hapana, hapana.
Ila nakubali 100% kuwa Mayele anastahili kuwa mchezaji bora msimu huu.
Asipoelewa hapa basi tenaTatizo tunazidisha mahaba sana kwenye vitu rahisi tu, yani mtu kasimama na kupiga mpira unamshinda kipa na kuingia unalinganisha goli lake na la mtu alotoka na mpira nyuma anakimbia nao huku anawala chenga mabeki na kumhadaa kipa then anafunga?! Unajua maana Efforts, Loads & Efficiency?! Nani katumia efforts, energy, skills & technique nyingi kati yao?!
Basi tufanye la ntibazonkiza ndio goli Bora unaonaje we kolo?Aisee utoaji wa tuzo una changamoto sana, nakataa goli alilofunga Mayele na kutwaa tuzo sio bora msimu huu, kusema lile goli alilofunga Maguri ni baya? Lile goli la Ntibazonkiza akiwa Geita ni baya? Goli alilofunga Sakho vs Singida ni baya? Je goli la Ilanfya lililoshindanishwa na la Mayele limezidiwa kiwango na lile la Mayele, hapana, hapana, hapana.
Ila nakubali 100% kuwa Mayele anastahili kuwa mchezaji bora msimu huu.
Kasage sumu unywe.Aisee utoaji wa tuzo una changamoto sana, nakataa goli alilofunga Mayele na kutwaa tuzo sio bora msimu huu, kusema lile goli alilofunga Maguri ni baya? Lile goli la Ntibazonkiza akiwa Geita ni baya? Goli alilofunga Sakho vs Singida ni baya? Je goli la Ilanfya lililoshindanishwa na la Mayele limezidiwa kiwango na lile la Mayele, hapana, hapana, hapana.
Ila nakubali 100% kuwa Mayele anastahili kuwa mchezaji bora msimu huu.
Nyie thimba mmefunga goli gani zuri bwana?Sure umeongea ukweli...
Kwani kulikuwa na tuzo ya goli baya? Bora hutokana na vizuri vingi unachagua zuri zaidi ,waingereza wanaita " the best one".Aisee utoaji wa tuzo una changamoto sana, nakataa goli alilofunga Mayele na kutwaa tuzo sio bora msimu huu, kusema lile goli alilofunga Maguri ni baya? Lile goli la Ntibazonkiza akiwa Geita ni baya? Goli alilofunga Sakho vs Singida ni baya? Je goli la Ilanfya lililoshindanishwa na la Mayele limezidiwa kiwango na lile la Mayele, hapana, hapana, hapana.
Ila nakubali 100% kuwa Mayele anastahili kuwa mchezaji bora msimu huu.
Akikuelewa,nibeepTatizo tunazidisha mahaba sana kwenye vitu rahisi tu, yani mtu kasimama na kupiga mpira unamshinda kipa na kuingia unalinganisha goli lake na la mtu alotoka na mpira nyuma anakimbia nao huku anawala chenga mabeki na kumhadaa kipa then anafunga?! Unajua maana Efforts, Loads & Efficiency?! Nani katumia efforts, energy, skills & technique nyingi kati yao?!
Bao Bora ni lile lililotia mimba.Mimba yaweza kuwa medali au ubingwa ama kombe.Au lisababishe wapinzani kung'oa viti uwanjaniBao LA Kibu D dhidi ya utopoloo lilistahili, sio kwa mfataki ulee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kwenye bao boraa hapanaa, Mayele hastahili, ukweli usemwee.
Goli bila kutia mimba linakuwa sawa na GOLI LA NAPE.yaani goli la mkono.Nape alilipiga akadondoka bafuni.Nyie thimba mmefunga goli gani zuri bwana?
Mi mwenyewe nakataa goli bora ni la kwako ukiwa unachukua sheria mkononiAisee utoaji wa tuzo una changamoto sana, nakataa goli alilofunga Mayele na kutwaa tuzo sio bora msimu huu, kusema lile goli alilofunga Maguri ni baya? Lile goli la Ntibazonkiza akiwa Geita ni baya? Goli alilofunga Sakho vs Singida ni baya? Je goli la Ilanfya lililoshindanishwa na la Mayele limezidiwa kiwango na lile la Mayele, hapana, hapana, hapana.
Ila nakubali 100% kuwa Mayele anastahili kuwa mchezaji bora msimu huu.
Huu Sasa si ushabiki Ila chuki. Huwezi kufananisha Solo goal na free kick goal. Kwa magoli yaliyowekwa pale ulitaka lipi liwe Bora kuliko mengine? Labda useme kuna goli lingine halikishindanishwa na haya lakini Kwa yaliyowekwa ile Solo inayafunika yote.Aisee utoaji wa tuzo una changamoto sana, nakataa goli alilofunga Mayele na kutwaa tuzo sio bora msimu huu, kusema lile goli alilofunga Maguri ni baya? Lile goli la Ntibazonkiza akiwa Geita ni baya? Goli alilofunga Sakho vs Singida ni baya? Je goli la Ilanfya lililoshindanishwa na la Mayele limezidiwa kiwango na lile la Mayele, hapana, hapana, hapana.
Ila nakubali 100% kuwa Mayele anastahili kuwa mchezaji bora msimu huu.
MeeeengiiiiiiNyie thimba mmefunga goli gani zuri bwana?
Lipi hilo ?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bao Bora ni lile lililotia mimba.Mimba yaweza kuwa medali au ubingwa ama kombe.Au lisababishe wapinzani kung'oa viti uwanjani