Nakemea vikali dada zetu kuruka ukuta!

Nakemea vikali dada zetu kuruka ukuta!

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Tangu nikiwa na miaka 19 nimekuwa nikipiga vita sana dada zetu kuruka ukuta.

Ila naona wazi ni kama wanatukatisha tamaa sisi wapinga hivyo vitu. Kuvuja kwa baadhi ya clips za wasanii wa kike wakiruka ukuta, tena kwa hiyari, kunarudisha mno juhudi nyuma.

Hasa hasa hawa dada zetu wenye 'mikia' mikubwa kwa kweli wanaturudisha mno juhudi nyuma. Najiuliza mno. Je, kufuga mikia ni kwamba wanachochea wao wenyewe? Kupiga picha wamebinua mikia ni kwamba wanachochea kurukwa ukuta?

Sasa naona fika ni kama wao wameridhia haya.
Niliwahi kukataa ofa ya kuruka ukuta way back.

Tuwalinde dada zetu, ile mikia si kishawishi cha hayo tunayofikiria. Ni kwa ajili ya kukalia tu.

NB:
Hata leo nikipewa naweza nikakataa kwa 100%.

Zingatia neno 'naweza'.
Ila...! Niishie hapo.
 
Sikiliza nikwambie wewe nice guy, ukikataa wewe bad boyz wanamfumua malinda kama kawaida na uyo demu anayekupa ndogo halafu unakataa anakuona mshamba tu. Usimuonee huruma mwanamke cha muhimu wewe unatimiza haja zako kingono, mwanamke ni chombo cha starehe tu. Hakuna ambacho mwanamke hatoi its just a matter of acceptable price.
 
Ni shida sana, mkuu wa mkoa mzima analawiti kibinti cha mwaka 2003, huyo ni kiongozi ambaye anapaswa kuwa mfano kwenye jamii.
Mtu aliyezaliwa 2003 ni mwanamke kamili sio 'kibinti' kama unavyotaka kuaminisha watu.
Kwenye Bible Mungu ameagiza mwanamke akibakwa maeneo ya mjini yeye na mbakaji wote wauliwe kwasababu alikuwa anaweza kupiga kelele na kupata msaada.
Waswahili msipoacha tamaa mtafirwa sana(jinsia zote)
TAMAA MBELE MAUTI NYUMA.
 
Mtu aliyezaliwa 2003 ni mwanamke kamili sio 'kibinti' kama unavyotaka kuaminisha watu.
Kwenye Bible Mungu ameagiza mwanamke akibakwa maeneo ya mjini yeye na mbakaji wote wauliwe kwasababu alikuwa anaweza kupiga kelele na kupata msaada.
Waswahili msipoacha tamaa mtafirwa sana(jinsia zote)
TAMAA MBELE MAUTI NYUMA.
Nyie ndio wafiraji wenyewe, kutetea ujinga.
 
1. Makalio hayachochei urukaji wa ukuta, yale yanaleta mvuto tu kama jinsi ke wanavyovutiwa na ndevu, vifua vya wanaume....

2. Kama watu wawili wamekubaliana kufanya jambo fulani ambalo ni la kifaragha, ikiwa wanajua athari zake(kama zipo) basi hakuna namna ya kuwazuia.
 
Sikiliza nikwambie wewe nice guy, ukikataa wewe bad boyz wanamfumua malinda kama kawaida na uyo demu anayekupa ndogo halafu unakataa anakuona mshamba tu. Usimuonee huruma mwanamke cha muhimu wewe unatimiza haja zako kingono, mwanamke ni chombo cha starehe tu. Hakuna ambacho mwanamke hatoi its just a matter of acceptable price.
Umeongea kibabe sana. Why unamchukua mwanamke kama chombo cha starehe?
 
Mtu aliyezaliwa 2003 ni mwanamke kamili sio 'kibinti' kama unavyotaka kuaminisha watu.
Kwenye Bible Mungu ameagiza mwanamke akibakwa maeneo ya mjini yeye na mbakaji wote wauliwe kwasababu alikuwa anaweza kupiga kelele na kupata msaada.
Waswahili msipoacha tamaa mtafirwa sana(jinsia zote)
TAMAA MBELE MAUTI NYUMA.
Aisee!
 
Sikiliza nikwambie wewe nice guy, ukikataa wewe bad boyz wanamfumua malinda kama kawaida na uyo demu anayekupa ndogo halafu unakataa anakuona mshamba tu. Usimuonee huruma mwanamke cha muhimu wewe unatimiza haja zako kingono, mwanamke ni chombo cha starehe tu. Hakuna ambacho mwanamke hatoi its just a matter of acceptable price.
Hakika
 
Back
Top Bottom