Nakemea vikali dada zetu kuruka ukuta!

Wanasema "My body, my choice".

Weee nawe fanya unalotaka na mwili wako.
 
si wanasema ile ni involuntary action yani kama unavofunga macho na kuyafungua? au km kifo unashangaa shwaaah malaika au shetani uyu apa na wanawe
 
Tatizo liko kwa wanaume wanaotaka mlango wa nyuma kwa kuhonga hela, kwa lazima au kwa kubembeleza hao ndio wenye shida
 
Duh! Code ngumu mnoo sijaambulia kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…