Lofawamali
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 304
- 146
- Thread starter
-
- #61
Cyo kwel wasukuma ndo mnaongoza kwa ushamba mkija na hela zenu za mifugo mnaibiwa kuanzia ubungoWanaume wa Dar wanavaa shanga kiunoni,wengine wanasafisha kucha saluni,mie sipendi,Nabaki kwetu usheru shinyanga
Kibogoyo wa vidole nae kaandika.....Wanaume wa Dar wakipata mda wa ziasa wanaenda window shopping,Kuangalia magari ya wanaume wa mikoani,Ma land cruiser,wao wanaishia bits na ist
Cyo kwa wote....Mimi kumbe sielewagi huo msemo,nilidhani unatambulishaga tabia za baadhi ya wanaume wa dar?
Wanaume wa mkoa bwna hata kanomino wanacomment....Wanaume wa dar mambo yenu bhana! et kanomino tu kanamkera, kha!
Hata kuku anapumzika mwanamke anapigwa na upande wa khanga Ambiele.Ngumi kwa mwanamke hazisaidii nyie mnawachapaga had mapanga.....
Wanaume Wa Dar
Sasa wewe hujui kwamba DAR ndio Tanzania mikoani ni wasindikizaji tuCyo kuuma chief inatucost sanaukiomba unaulizwa unatokea Dar ??
Kama wanakubali hilo mi sina la kunena....Sasa wewe hujui kwamba DAR ndio Tanzania mikoani ni wasindikizaji tu
Iyo video huwa nafulai thana kuiangaliaHata kuku anapumzika mwanamke anapigwa na upande wa khanga Ambiele.Ngumi kwa mwanamke hazisaidii nyie mnawachapaga had mapanga....
Wanaume wa Dar mnakula ubuyu na dada zenu kibarazani!Kibogoyo wa vidole nae kaandika.....
ha haa......pole mkuu, naona wanawakomaliya sana watu wa dar, karibu moro au chalinze pwani uepukane na hayo maswahibuHabari zenu wanajamvi,
Mimi kuna msemo unanikera maana unageneralize "wanaume wa Dar". Alafu mbaya zaidi hadi wanaume wenzetu kutoka mikoani wanatusema.
Kuna wengine ndo kwetu na wa mkoa wakija ndo wanaharibu jiji nyie chunguzeni fanyeni utafiti mtaona.
Hahhahh karbun wa mkoa...Dah., usijali kuna wanaume kibao wa mkoa wamekuja kushangaa daraja la Nyerere na barabara za mwendo kasi hapa mjini na tunawatunza [emoji12]