Lofawamali
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 304
- 146
- Thread starter
-
- #81
Jengen kwanza Daraja...ha haa......pole mkuu, naona wanawakomaliya sana watu wa dar, karibu moro au chalinze pwani uepukane na hayo maswahibu
Jaj mpaka sasa napatwa na wasiwasi we ni ME/KE?? Kama KE basi huna zali Ila kama ME basi mkoa achen tabia chafu...Wanaume wa Dar mnakula ubuyu na dada zenu kibarazani!
How??HATA WEWE umejitanabaisha
Cyo kwel mkoa ndo mmejazana huku mabahasha tu tunatembea na wese.....Wanaume wa Dar wengi mashoga
Kiswahili kigumu aisee ni taftahe cyo shaftahe we ulienda kufanya nn??Dah,asubui hii nimeona wanaume wa Dar tiyari wapo mliman city eti window shopping,kha,jumapili tena mapema hata staftahi hujapata usharnda kuuza sura mlimani?
Kiswahili kigumu aisee ni taftahe cyo shaftahe we ulienda kufanya nn??
Vituo vyote vya Luku hvi mpka uende Mlimani city duh...Nilikwenda Tafuta funguo nlopoteza usiku nlipokwenda Nunua Luku.
Najia hata wewe ni mwanaume wa Dar ndo maana imekutach ila nashukuru umejirekebisha
Ya nn??Pole
Tatizo nyie machalii wa Dar mnazingua sana aisee inakuwaje mnajipodoa kama Dada zetu, mnapenda kubana sauti kama dada zetu,mnakula chips kama Dada zetu, mnauza t*go kama kawa nyie naje aisee??? Mnapenda kitonga kinyama ndo maana mkija USA yani United States of Arusha a.k.a chuga mnaoneka kama mabwabwa tu!Habari zenu wanajamvi,
Mimi kuna msemo unanikera maana unageneralize "wanaume wa Dar". Alafu mbaya zaidi hadi wanaume wenzetu kutoka mikoani wanatusema.
Kuna wengine ndo kwetu na wa mkoa wakija ndo wanaharibu jiji nyie chunguzeni fanyeni utafiti mtaona.
Umeshasema kaibiwa....sasa wewe unalalamika nini,kuitwa chips boy[emoji12]Kulalamika kumeumbwa kwa kila binadamu mbna juz tu hapa mtu kapost kutoka kigoma kaibiwa au cyo kulalamika kule??