nasikiliza Radio Wapo sasa; Shyinganga Mjini Mabomu yamelipulia rasmi na matokeo yamesheleweshwa japo ahadi ilitolewa saa 5 asubuhi yangetangazwa, jimbo lina vituo zaidi ya 200; CHADEMA inaonekana imeshinda.
Joseph Msami --- Taharuki -- Ubungo
raia wanataka matokeo haraka -- sauti zinapazwa hapa