Nakopesha kwa riba

Nakopesha kwa riba

Joined
Dec 6, 2016
Posts
12
Reaction score
10
Habari zenu..

Nakopesha pesa kwa riba.

Riba ni asilimia 10 kwa mwezi.

Mkopo ni wa muda mfupi ambao hautozid mwezi mmoja kulingana na kiasi cha pesa.

Wafanyabiashara wadogo na wafanyakazi walioajiriwa ndo wanaoweza kukopesheka.

Dhamana ni lazima.
 
Nakushauri uachane na biashara ya RIBA.Maandiko matakatifu yanatueleza jinsi Mwenyezimungu anavyoichukia riba.
 
Habari zenu..
Nakopesha pesa kwa riba.

Riba ni asilimia 10 kwa mwezi.

Mkopo ni wa muda mfupi ambao hautozid mwezi mmoja kulingana na kiasi cha pesa.

Wafanyabiashara wadogo na wafanyakazi walioajiriwa ndo wanaoweza kukopesheka.

Dhamana ni lazima.
Sasa wewe contact zako ziko wapi
 
aisee mbona umepotea au msingi ulikuwa mdogo tunakungoja upatie mkopo tafadhali
 
Back
Top Bottom