Nakosa mpaka hela ya guest

Kama huna hela ya gesti nenda kichakani ni buree
 
Sishangazwi sana na huu uzi. Ile siku umepost suruali yako kama gunia ilitosha tu kuniambia kua vijana wa lumumba fc mna hali mbaya kiuchumi.
Mpaka akili za kutafuta pesa hua mnaziacha lumumba?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu aliwahi kukuambia ndege JOHN yaani wewe mada zako zote ni za kipuuzi, kumbe ni kweli.
 
Hapo ulipo unaandaa uzi wa kuwatukana upinzani au kumsifia jiwe ili upate angalau buku 7 ya kula
 
Hapa kazi tu. Lazima uisome namba baaaf

Sent using Sukhoi Su-57
 
Lumumba wamefunga account yako nini?
 
Kijana una nguvu unalalamika kukosa pesa, usikae ndani unachati.
Nenda mtaani jichanganye na wenzako na uwe muaminifu uwezi kukosa kitu mpaka jua linazama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio ya gesti tuu,hapo bado hajala mkiwa ndan,kama anatumia kinywaji ujue nacho bado

Kama unatumia ndom napo inabid uwe na hela,na inategemea unaenda bao ngap,kama zaid ya tatu ujue ndom mbilj buku..

Nauli..na hela ya ziada,huwez jua chochote chaweza tokea

Wenzio wanapiga puli unadhan wanapenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…