nakuelekeza tu maana ulini mention ujue🤣🤣🤣🤣Hapana mkuu yeye mwenyewe anajiweza mkuu...
Alafu acha kunitisha sana mbona kama umekamia
Naona mkuu kama unaanza kunikamia sasa...... Khaaa 😁😁😁😁nakuelekeza tu maana ulini mention ujue🤣🤣🤣🤣
"""Inashangaza kijana hana kazi, hana pesa lakini ana hamu ya ngonowewe ni simba mkuu,
ila hapo umekutana na chatu.
Siwezi kuwa refa kwenye huo mtifuano
mpambano ni mkali true true"""Inashangaza kijana hana kazi, hana pesa lakini ana hamu ya ngono
Upuuzi mtupu,,😁😁😁😁😁
😁😁😁😁 Mkuu show kali aiseee huu mtihani hata ww usingeweza anmpambano ni mkali true true
Mkuu mimi nina uzoefu na hao the so called 'mishangazi'😁😁😁😁 Mkuu show kali aiseee huu mtihani hata ww usingeweza an
Ahahahaha kumbe ni familia bana.Mkuu mimi nina uzoefu na hao the so called 'mishangazi'
Niliwahi ishi Dar es salaam kitambo kabla hujaijua JF.. nimekutana nao, wanajua kuhonga na kujali.
The issue is, You are not alone..
That she is not good enough for you. She is gold digger 😁😁😁😁Wasted sperm
Nilikua naishi Tabata Shule,Ahahahaha kumbe ni familia bana.
🤛🤛🤛🤛🤛🤛🤛
Mkuu mkuu acha sana kwanini tabata na Buguruni wanatoa mashangazi....Nilikua naishi Tabata Shule,
Huo mshangazi ulikuwa Tabata Kinyerezi.
Alikua anafanya kazi T.R.A sijui ilitokea changamoto gani akaacha kazi..
Siku moja akaniambia anipe milioni 1 nifanye biashara flani nijiandae na mambo ya familia😅😅
mimi nikiwa 28yrs yeye ako na 40 yrs nkaona hapa napotea kijana wa watu😂😂😂
Hahaha.............. Ndiyo usisahau kuniletea Kiko yangu Mjukuu 🤗Nimekuelewa babu akeee😂
😅😅Mpaka jamaa akuelewi licha ya uhuni wake wote huo
Nikushauri Mdogo wangu,Mkuu mkuu acha sana kwanini tabata na Buguruni wanatoa mashangazi....
Sasa huyu wa me kiukweli sina haja ya kukuficha najua uwezi kumju...
Yeye anafanya kazi hapo tazara TCC
Namtetea Mjukuu wangu, hawezi kuwa wa hovyo 🤗Ephen wa hovyo kwa mantiki hiyo au ahahaha
Hovyo wewe
Aaaaah wapi weweNamtetea Mjukuu wangu, hawezi kuwa wa hovyo 🤗
Kukimbia siwezi kaka acha kunipa ushauri wa hovyoNikushauri Mdogo wangu,
You are not alone.
Chuma Mali haraka ukimbie.