Nakubaliana na Julius Malema sio busara kumfunga mzee wa miaka 73 katika jela ya umma

Nakubaliana na Julius Malema sio busara kumfunga mzee wa miaka 73 katika jela ya umma

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
16,054
Reaction score
11,568
Katika moja ya mahojiano na kituo cha tv Malema amesema sio busara kumfunga Jacob Zuma katika jela ya umma ukizingatia umri wake wa miaka 73, angeweza kutumikia kifungo cha nje akiwa nyumbani kwake "under house arrest" nimeona hii busara.

Na sie kwanini tusiweke sheria mtu akifikisha umri wa miaka 75 asihukumiwe kwenda jela na ikibidi basi afungwe jela ya nje, na walioko magerezani akifikisha umri huo basi aachiwe.
 
Sharia law huyo mzee anapigwa mawe hadi kifo... hakuna busara kugungwa kwa mla rushwa shwain
 
Katika moja ya mahojiano na kituo cha tv Malema amesema sio busara kumfunga Jacob Zuma katika jela ya umma ukizingatia umri wake wa miaka 73, angeweza kutumikia kifungo cha nje akiwa nyumbani kwake "under house arrest" nimeona hii busara.

Na sie kwanini tusiweke sheria mtu akifikisha umri wa miaka 75 asihukumiwe kwenda jela na ikibidi basi afungwe jela ya nje, na walioko magerezani akifikisha umri huo basi aachiwe.
Kwa taarifa yako Malema ni mtoto wa Zuma kisiasa. Maana yake Malema ni member wa ANC. Fuatilia historia ya Malema na Zuma ndani ya ANC. Kauli hiyo ina maana kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika binadamu wabishi Malema number moja... leo anatema cheche za busara hivi...
 
Katika moja ya mahojiano na kituo cha tv Malema amesema sio busara kumfunga Jacob Zuma katika jela ya umma ukizingatia umri wake wa miaka 73, angeweza kutumikia kifungo cha nje akiwa nyumbani kwake "under house arrest" nimeona hii busara.

Na sie kwanini tusiweke sheria mtu akifikisha umri wa miaka 75 asihukumiwe kwenda jela na ikibidi basi afungwe jela ya nje, na walioko magerezani akifikisha umri huo basi aachiwe.
Sikubaliani na yeye kabisaa maana alipokuwa madarakani yeye Malema ndio aliyekuwa anapaza sauti mast go jail sasa leo imekuwaje tena asiwekwe jela? ndio najipambanua kuwa yeye ni mwana mapinduzi? wanasisia kwakweli niwakuangalia kwa macho zaidi ya mawili.
 
Sikubaliani na yeye kabisaa maana alipokuwa madarakani yeye Malema ndio aliyekuwa anapaza sauti mast go jail sasa leo imekuwaje tena asiwekwe jela? ndio najipambanua kuwa yeye ni mwana mapinduzi? wanasisia kwakweli niwakuangalia kwa macho zaidi ya mawili.
Malema hajulikani anataka nini. Leo anasema hivi akiona kitu kimefanyika kama alivyosema anapinga anasema hivi. Yani ili mradi tu apinge pinge
 
Malema hajulikani anataka nini. Leo anasema hivi akiona kitu kimefanyika kama alivyosema anapinga anasema hivi. Yani ili mradi tu apinge pinge
Na yeye amakashfa ya kutumia pesa vibaya za Bank alichukuwa mkopo mkubwa pamoja na wana familia yake wapo saizi kumchunguza ikiibuka hiyo atajuata na ndio utakuwa mwisho wake mjinga huyo. kuna yuel jamaa Dk Ndlozi alisha hojiwa kuhusu hilo lakini katoka smart sasa wanamfwatilia Malema.
 
Na yeye amakashfa ya kutumia pesa vibaya za Bank alichukuwa mkopo mkubwa pamoja na wana familia yake wapo saizi kumchunguza ikiibuka hiyo atajuata na ndio utakuwa mwisho wake mjinga huyo. kuna yuel jamaa Dk Ndlozi alisha hojiwa kuhusu hilo lakini katoka smart sasa wanamfwatilia Malema.
Wote ma opportunist wanaojificha nyuma ya siasa
 
Zuma ameudumisha sana ubaguzi wa rangi SA....
 
Back
Top Bottom