Nakufa Jamani

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Tumbo linaniuma sana tena zaidi ya sana, kama la kuharisha lakini siharishi.
Nimekuwa nikijisikia kwenda haja, lakini mara niingiapo maliwatoni hamna kitokacho, ni mimi na maumivu, naumia sana.
 
Pole Mikela, hautakufa wala usiwe na wasiwasi! Ulikula nini katika kipindi cha masaa 24.?
 
Pole sana Mungu akuponye. Nenda hospitali haraka
 
Umepima kuangalia kama una vidonda vya tumbo?
 
au wewe ni shabiki wa yanga sc nin usikonde mtapita tu hata kwa kubebwa...
 
kijana pole, hebu kata viroba vya konyagi fasta vikusafishe tumbo na kuua wadudu wote tumboni.
 
Hizo ni dalili za kupanic. Tuliza boli kijana, whatever it is u will succeed.
 
huwezi pata dawa hapa mkuu...hebu nenda hosp kwa diagnosis...
 
Hapa ni porojo zinazotoka...wewe nenda haraka hospitali!!
 
Aidha umekula chakula chenye food poison. Nenda hospital haraka. Pole sana
 
Tumbo linaniuma sana tena zaidi ya sana, kama la kuharisha lakini siharishi.
Nimekuwa nikijisikia kwenda haja, lakini mara niingiapo maliwatoni hamna kitokacho, ni mimi na maumivu, naumia sana.

Wahi hospital kazi hizi zipo na zitaendelea kuwepo.
 
acha kubana matumizi, jitahidi kula walau kitu kidogo kufuata ratiba ya mlo wa siku, na maji ya uvuguvugu pia usisahau, maumivu yakizidi mwone Dr.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…