Nakuita Hivi

Nakuita Hivi

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Nakuita wewe chanda,
Uliye wangu nyonda
Pekee ninakupenda
Mimi nakuita hivi; au vile!

Ninakuita habiba
Uloichomoa miiba
Ukantuliza shurba
Mimi nakuita hivi; au vile!

Nakuita waridi
Ewe ua la ahadi
Pendo lako ni zawadi
Mimi nakuita hivi; au vile!

Nakuita Malkia
Mtawala ulonijia
Na moyo kuniachia!
Mimi nakuita hivi; au vile!

Ninakuita Faraja
Ulochagua umoja
Ya penzi letu la haja!
Mimi nakuita hivi; au vile!

Ninakuita wangu
Wangu peke yangu
Kwa ardhi na kwa mbingu
Mimi nakuita hivi; au vile!

Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)
 
Ebana naomba kulitumia hili.....kuna shori mmoja hivi ana play hard to get lakini nikimshushia hii mistari ataingia tu kwenye kumi na nane...
 
pole mzee MMM huyu anayekuzengua kweli this time umepatikana kweli utamalisha mashairi yote duniani
 
Nakuita wewe chanda,
Uliye wangu nyonda
Pekee ninakupenda
Mimi nakuita hivi; au vile!

Ninakuita habiba
Uloichomoa miiba
Ukantuliza shurba
Mimi nakuita hivi; au vile!

Nakuita waridi
Ewe ua la ahadi
Pendo lako ni zawadi
Mimi nakuita hivi; au vile!

Nakuita Malkia
Mtawala ulonijia
Na moyo kuniachia!
Mimi nakuita hivi; au vile!

Ninakuita Faraja
Ulochagua umoja
Ya penzi letu la haja!
Mimi nakuita hivi; au vile!

Ninakuita wangu
Wangu peke yangu
Kwa ardhi na kwa mbingu
Mimi nakuita hivi; au vile!

Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)

Kwani Mzee MMM imekuwaje siku hizi? Naona punde utatoka kwenye Kilimo kwanza hadi kwenye uwanja wa Malenga...lol
 
Nakuita wewe chanda,
Uliye wangu nyonda
Pekee ninakupenda
Mimi nakuita hivi; au vile!

Ninakuita habiba
Uloichomoa miiba
Ukantuliza shurba
Mimi nakuita hivi; au vile!

Nakuita waridi
Ewe ua la ahadi
Pendo lako ni zawadi
Mimi nakuita hivi; au vile!

Nakuita Malkia
Mtawala ulonijia
Na moyo kuniachia!
Mimi nakuita hivi; au vile!

Ninakuita Faraja
Ulochagua umoja
Ya penzi letu la haja!
Mimi nakuita hivi; au vile!

Ninakuita wangu
Wangu peke yangu
Kwa ardhi na kwa mbingu
Mimi nakuita hivi; au vile!

Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)

Wonderful stuff
 
nakuita wewe chanda,
uliye wangu nyonda
pekee ninakupenda
mimi nakuita hivi; au vile!

Ninakuita habiba
uloichomoa miiba
ukantuliza shurba
mimi nakuita hivi; au vile!

Nakuita waridi
ewe ua la ahadi
pendo lako ni zawadi
mimi nakuita hivi; au vile!

Nakuita malkia
mtawala ulonijia
na moyo kuniachia!
Mimi nakuita hivi; au vile!

Ninakuita faraja
ulochagua umoja
ya penzi letu la haja!
Mimi nakuita hivi; au vile!

Ninakuita wangu
wangu peke yangu
kwa ardhi na kwa mbingu
mimi nakuita hivi; au vile!

Na. M. M. Mwanakijiji (sauti ya kijiji)
endelea kumwita wangu peke yangu na ubarikiwe sana.
 
pole mzee MMM huyu anayekuzengua kweli this time umepatikana kweli utamalisha mashairi yote duniani

mmh.. si unajua tena.. kuishi kwingi kuona mengi!

Nipo hapa nawasikiliza Vijana na wimbo wao "Maria wangu"..!

those were the days
 
Ebana naomba kulitumia hili.....kuna shori mmoja hivi ana play hard to get lakini nikimshushia hii mistari ataingia tu kwenye kumi na nane...

Nyani Ngabu,umenichekesha.Umezoea copy and paste tunga ya kwako ndio umpelekee huyo shori wako..Akishakukubali nani atakuwa anakupa mistari ya hapa na pale?utarudi tena kwa Mwanakijiji?
 
Back
Top Bottom