Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Ebana naomba kulitumia hili.....kuna shori mmoja hivi ana play hard to get lakini nikimshushia hii mistari ataingia tu kwenye kumi na nane...
ruhusa granted!.. no attribution necessary..
Nakuita wewe chanda,
Uliye wangu nyonda
Pekee ninakupenda
Mimi nakuita hivi; au vile!
Ninakuita habiba
Uloichomoa miiba
Ukantuliza shurba
Mimi nakuita hivi; au vile!
Nakuita waridi
Ewe ua la ahadi
Pendo lako ni zawadi
Mimi nakuita hivi; au vile!
Nakuita Malkia
Mtawala ulonijia
Na moyo kuniachia!
Mimi nakuita hivi; au vile!
Ninakuita Faraja
Ulochagua umoja
Ya penzi letu la haja!
Mimi nakuita hivi; au vile!
Ninakuita wangu
Wangu peke yangu
Kwa ardhi na kwa mbingu
Mimi nakuita hivi; au vile!
Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)
Nakuita wewe chanda,
Uliye wangu nyonda
Pekee ninakupenda
Mimi nakuita hivi; au vile!
Ninakuita habiba
Uloichomoa miiba
Ukantuliza shurba
Mimi nakuita hivi; au vile!
Nakuita waridi
Ewe ua la ahadi
Pendo lako ni zawadi
Mimi nakuita hivi; au vile!
Nakuita Malkia
Mtawala ulonijia
Na moyo kuniachia!
Mimi nakuita hivi; au vile!
Ninakuita Faraja
Ulochagua umoja
Ya penzi letu la haja!
Mimi nakuita hivi; au vile!
Ninakuita wangu
Wangu peke yangu
Kwa ardhi na kwa mbingu
Mimi nakuita hivi; au vile!
Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)
endelea kumwita wangu peke yangu na ubarikiwe sana.nakuita wewe chanda,
uliye wangu nyonda
pekee ninakupenda
mimi nakuita hivi; au vile!
Ninakuita habiba
uloichomoa miiba
ukantuliza shurba
mimi nakuita hivi; au vile!
Nakuita waridi
ewe ua la ahadi
pendo lako ni zawadi
mimi nakuita hivi; au vile!
Nakuita malkia
mtawala ulonijia
na moyo kuniachia!
Mimi nakuita hivi; au vile!
Ninakuita faraja
ulochagua umoja
ya penzi letu la haja!
Mimi nakuita hivi; au vile!
Ninakuita wangu
wangu peke yangu
kwa ardhi na kwa mbingu
mimi nakuita hivi; au vile!
Na. M. M. Mwanakijiji (sauti ya kijiji)
pole mzee MMM huyu anayekuzengua kweli this time umepatikana kweli utamalisha mashairi yote duniani
Ebana naomba kulitumia hili.....kuna shori mmoja hivi ana play hard to get lakini nikimshushia hii mistari ataingia tu kwenye kumi na nane...