Nakuja Kijipyaaaaaaaaaaaaa

Magulumangu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
3,051
Reaction score
461
naomba unapoweka verse sema ni kama wimbo wa nani vile.....

Babu mwana wa Kahena(verse)

Nile kama ndizi, nichane kama mic ni wewe wangu wa moyo...
Mtoto umetanuka,umechanuka,umewaaaaaaaaa,
Nitembelee kote kwangu eweeeeeeeee, kama buibuiiiiiiiii, mtoto baibuiiiiiiiiiiii...
kusema kweli nimekudondokeaaa..

nature chorus...

Mtoto una hips hips kama shakilaaaa,ila kukuacha nitakilaaa,nipende mwana mnyonge mimiiii...
Twendezetu tukajirushe rushe,kwenye maraha niwe mwenye zali mimiiii...

Weka verse kama unaweza na chorus juuuu...

Bongo fleva hahahaha
 
Hahahahahahah lol

sante Magu wangu
naanza kunusa utamu wa w/end...

Have a good one..
God bless
 



mimi na bongo fleva hatuivi kabisa,
mimi nipo kwenye taarabu!!!!!
 
Nyie watz mna kazi sana kuondokana na umasikini kudadadeki zenu.......vichwa vyenu WATZ vimejaa makamasi
 
Nyie watz mna kazi sana kuondokana na umasikini kudadadeki zenu.......vichwa vyenu WATZ vimejaa makamasi

Msalimie ndugu yako Mwakibaki na First lady wenu kama papai la kuvunda, Nyie wakenya mbona hamna lolote? mna nini? rais wenu chizi achilia mke wake......pua lako limejaa mavi au? sijui unafikiria kwa kutumia makario wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…