Tunakumbushana tu wadau, ni hivi:
Kama ukipotelewa na funguo wa mlango nyumba yako, ofisi yako au ofisi ya umma au sehemu inayofunguliwa kwa ufunguo!
Huruhusiwi kuvunja hilo komeo/kitasa bila kutoa taarifa polisi! (Loss report) ni utaratibu wa kawaida kabisa wadau nawakumbusha!
Pili; Hata kama unamiliki silaha kihalali ukiwa nayo kibindoni/kwenye mkoba Huruhusiwi kumpiga mtu mliyetofautiana katika mazungumzo hata kama mtajibizana hadi akakupiga Kofi inabidi either upambane bila silaha au ukimbie! Lakini huruhusiwi kumpiga risasi wala kumtishia bastola mtu huyo! (NI MARUFUKU)
Pia hurusiwi kumtishia silaha mke, mtoto, Mme au jirani au mtu yoyote mliyetofautiana kwenye migogoro yenu katika mahusiano yenu!
Sehemu pekee unaporuhusiwa kutumia silaha ni kwenye matukio ya uhalifu mfano; Ujambazi, uvamizi/Shambulio la kushtukiza au shambulio dhidi ya mnyama mkali!
Kama ukipotelewa na funguo wa mlango nyumba yako, ofisi yako au ofisi ya umma au sehemu inayofunguliwa kwa ufunguo!
Huruhusiwi kuvunja hilo komeo/kitasa bila kutoa taarifa polisi! (Loss report) ni utaratibu wa kawaida kabisa wadau nawakumbusha!
Pili; Hata kama unamiliki silaha kihalali ukiwa nayo kibindoni/kwenye mkoba Huruhusiwi kumpiga mtu mliyetofautiana katika mazungumzo hata kama mtajibizana hadi akakupiga Kofi inabidi either upambane bila silaha au ukimbie! Lakini huruhusiwi kumpiga risasi wala kumtishia bastola mtu huyo! (NI MARUFUKU)
Pia hurusiwi kumtishia silaha mke, mtoto, Mme au jirani au mtu yoyote mliyetofautiana kwenye migogoro yenu katika mahusiano yenu!
Sehemu pekee unaporuhusiwa kutumia silaha ni kwenye matukio ya uhalifu mfano; Ujambazi, uvamizi/Shambulio la kushtukiza au shambulio dhidi ya mnyama mkali!