Askari wenyewe hawafanyi hayo, tunawashuhudia wakivunja milango bila loss reportWewe na huyo fundi mtakamatwa ikitokea kuna uchunguzi unahitajika!
Na mafundi walioelimishwa juu ya hili unapompa kazi ya kuvunja mlango anatakiwa ahoji lost report! Vinginevyo atawajibishwa kama mharifu!
Ukiiga kunya kwa tembo utapasuka msamba!...kama utaratibu ni kuchuchuma nakushauri we chuchumaa, usiige popo anayekojoa kabinua miguu kichwa chini, kwake yeye kunuka mkojo ni kinga!Askari wenyewe hawafanyi hayo, tunawashuhudia wakivunja milango bila loss report
NotedHairuhusiwi kumlazimisha mkeo wa ndoa akupe unyumba ukibainika miaka 30 jela ni ubakaji
Una maslahi binafsiUkiiga kunya kwa tembo utapasuka msamba!...kama utaratibu ni kuchuchuma nakushauri we chuchumaa, usiige popo anayekojoa kabinua miguu kichwa chini, kwake yeye kunuka mkojo ni kinga!
Kama ndio hivyo nadhani kungepaswa somo la sheria liwe linafundishwa shuleni, Kama ilivyo kipindi Cha dini Basi kuwepo na kipindi cha somo la sheria.Mfano ukivunja komeo lako halafu ukamkuta mpenzi wako chumbani coincident kajinyonga au kanywa sumu! Au ukakuta humo ndani vitu vimeibiwa kwa mtu mwingine kufoji funguo kabla ya wewe kuvunja ...mwizi atayegeuziwa kibano ni wewe mwenyewe uliye vunja
Unaweza kuipata lost report hata kupitia Application! Download app kutokana apps store " polisi Tanzania app"Aiseeeeee,umetujuza vemaa ila ,
Loss ripoti inapatkana police,
Nimepoteza ufunguo ucku aaaaafuuuu ucku huohuo nifate loss ripoti,,,,
Ctoweza mdau,
Dawa ni kulivunja tuuuu
Sheria kandamizi. Yale yale ya mti nimepanda mwenyewe, ikifika muda wa kuvuna eti mpaka nipate kibali cha maliasili!!?Tunakumbushana tu wadau ni hivi!!
Kama ukipotelewa na funguo wa mlango nyumba yako, ofisi yako au ofisi ya umma au sehemu inayofunguliwa kwa ufunguo!
Huruhusiwi kuvunja hilo komeo/kitasa bila kutoa taarifa polisi! (Loss report) ni utaratibu wa kawaida kabisa wadau nawakumbusha!
Pili; Hata kama unamiliki silaha kihalali ukiwa nayo kibindoni/kwenye mkoba Huruhusiwi kumpiga mtu mliyetofautiana katika mazungumzo hata kama mtajibizana hadi akakupiga Kofi inabidi either upambane bila silaha au ukimbie! Lakini huruhusiwi kumpiga risasi wala kumtishia bastola mtu huyo! (NI MARUFUKU)
Pia hurusiwi kumtishia silaha mke, mtoto, Mme au jirani au mtu yoyote mliyetofautiana kwenye migogoro yenu katika mahusiano yenu!
Sehemu pekee unaporuhusiwa kutumia silaha ni kwenye matukio ya uhalifu mfano; Ujambazi, uvamizi/Shambulio la kushtukiza au shambulio dhidi ya mnyama mkali!
ni sawa lakini kama nimevamiwa je??ndo nisubir police wajee eeSheria kandamizi. Yale yale ya mti nimepanda mwenyewe, ikifika muda wa kuvuna eti mpaka nipate kibali cha maliasili!!?
Ya kujilinda, ila sio kila anayekuonea umnyooshee chumaI presume unamaanisha silaha!
Nipigane nikimbie, sasa hii silaha ni ya kazi gani?
Kupanda mti haikupi uhalali wa kumiliki! Unaweza kuwa umepanda eneo lisilokuwa lako,Sheria kandamizi. Yale yale ya mti nimepanda mwenyewe, ikifika muda wa kuvuna eti mpaka nipate kibali cha maliasili!!?
Umekurupuka. Mimi namaanisha eneo ni langu kisheria na nimepanda mti mwenyewe na kuutunza hadi ukakomaa. Nikitaka kuuvuna ni lazima nipate kibali cha maliasili!! Ukandamizaji huu.Kupanda mti haikupi uhalali wa kumiliki! Unaweza kuwa umepanda eneo lisilokuwa lako,
Na iko miti ya kutolea taarifa na mingine siyo!
Mfano mtu aliyepanda Mti wa mbilimbi au mronge siyo lazima kibari, lakini miti mingine unakumbushwa kutoa taarifa, kwa ajili ya usalama kutokana kwa wataalam wa miti maana ikitokea mti wako umehribu miundombinu ya umeme au kuangukia nyumba za watu ndipo utajua umhimu wa kibali
Halafu tunaambiwa kutokujua sheria si kinga dhidi ya kosa ulilofanya.Kwa nini sharia zisibandikwe mababarani ili watu wengi wazimanye
Tunakumbushana tu wadau, ni hivi:
Kama ukipotelewa na funguo wa mlango nyumba yako, ofisi yako au ofisi ya umma au sehemu inayofunguliwa kwa ufunguo!
Huruhusiwi kuvunja hilo komeo/kitasa bila kutoa taarifa polisi! (Loss report) ni utaratibu wa kawaida kabisa wadau nawakumbusha!
Pili; Hata kama unamiliki silaha kihalali ukiwa nayo kibindoni/kwenye mkoba Huruhusiwi kumpiga mtu mliyetofautiana katika mazungumzo hata kama mtajibizana hadi akakupiga Kofi inabidi either upambane bila silaha au ukimbie! Lakini huruhusiwi kumpiga risasi wala kumtishia bastola mtu huyo! (NI MARUFUKU)
Pia hurusiwi kumtishia silaha mke, mtoto, Mme au jirani au mtu yoyote mliyetofautiana kwenye migogoro yenu katika mahusiano yenu!
Sehemu pekee unaporuhusiwa kutumia silaha ni kwenye matukio ya uhalifu mfano; Ujambazi, uvamizi/Shambulio la kushtukiza au shambulio dhidi ya mnyama mkali!