Nakukumbusha Waziri Ndalichako kwamba Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana. Utaondoka na kukiacha kama wengine walivyokiacha

Tatizo sio Ndalichako. Tatizo ni yule anayeitwa limbukeni na mshamba na wenzake chamani.
 
Erythrocyte,
Mm binafsi nilkuwa wa kwanza kupendekeza mama apewe wizara japo sipo sehemu ya uteuzi angalau maombi yangu yalisikika na yalijibiwa lakn huyu Mama toka ameingia ameacha taaluma yake mbali amekuwa mshika pembe....
 
WE
Alipowaonea wanafunzi Waislam alipokuwa NECTA tulivyofanya maandamano aondolewe mlitubeza sana.

"Wameyataka wenyewe basi shauri yao".
Wewe na yeye wote manzi ga Nyanza! Udini unakujaje hapa? wameyataka au mmeyataka? you?
 
WE

Wewe na yeye wote manzi ga Nyanza! Udini unakujaje hapa? wameyataka au mmeyataka? you?
Udini ndiyo nini? Pitia uzi uone na picha kabisa za Waislam walivyoandamana.

Au wakitajwa Waislam ndiyo udini?
 
Hiyo no sita Una uhakika nayo?

Wanafunz wengi wa vyuo vikuu mwaka wa pili na kuendelea wamepunguziwa allocation zao sidhani kama unajua hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mama toka nilipopata habari za uteuzi wake, nilionz hapa elimu ya nchi hii imeingia choo cha kike. Ni bingwa wa kujimwambafai sana, halafu ana chembe za kiubabe kisa ni mtu fulani.

Yaani badala ya elimu yetu kuendelea, naona kama kaitia doa kabisa.

Naweza kusema nafasi aliyopewa inampwaya, haiwezi kabjsa na nimeweza kushuhudia utaratibu wa hovyo kabisa kwenye elimu ya nchi hii. Hasa kioindi hiki cha awami ya tano
 
Udini ndiyo nini? Pitia uzi uone na picha kabisa za Waislam walivyoandamana.

WakitajwaWaislam ndiyo udini?
Nipitie uzi tena?! nilikuwa mmoja wao!

Ndiyo waislam ni Dini, hayo madhehebu yenu ndiyo mnaona Dini tu? sipendi uislam, utajwe kutafuta publicity, bila sababu za msingi, wenyewe tunaweza kujitetea! narudia tena waislamu tunajiheshimu kwa Madili yetu naomba mtuache!
 
Kiswahili kinakupa shida, kwanza Waislam siyo "dini". Halafu siyo Uislam ulioandamana, walioandamna kushikiza Ndalichako aondolewe NECTA walikuwa Waislam. Ulitaka tukutaje wewe? Ukipenda usipende huo ndiyo ukweli na ulitokea.

Pitia uzi utazikuta na picha za Waislam wakiandamana, kama u mvivu wa kusoma siyo tatizo langu hilo, linajionesha wazi katika maandiko yako.
 
Uko sahihi kabisa Mkuu!
Kuwa ''sisomagi kila kinachoandikwa na yeyote!'' niko so! so! selective, logically it's not that much sin! to be a kind of idealistic figure in that way!!!! yes I am!!

Tatizo siyo tatizo mpaka muhusika ameliona ni tatizo! kwa hiyo; siyo kweli kuwa siyo tatizo lako!
uki-jisikia comfortable taja ''Tata nyarusare alikuwepo!'' siyo mbaya! .... Rhuksa!
 
Ma me nashangaa bodi ya mikopo inaingiliwa vipi na wizara ya elimu katika utimizaji wa majukumu yake binafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnajua ndugu mnahangaika bure na hawa watu tatizo inaweza wasiwe wao kumbuka hizo nafasi wanapewa tu navile unajua hakuna watu waoga wa maisha kama hao
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo no 7 ndio ilileta mtafaruku juzi au unasahau. Duuuuuuuh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unajua maana halisi ya Chuo Kikuu na sifa zake. Nitajie leo chuo gani kina sifa za Kuitwa Chuo Kikuu?
Ukisoma Chuo nje utagundua Tanzania hapajawahi kuwa na Chuo cha kujivunia.
 
Tatizo ni lako si langu.

Mimi nimekupa darsa nahisi limekuingia.
 
Mkuu una matatizo sana, tena ya msingi kweli kweli, kama kweli uko timamu jitafakari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha yake......wengi hatumkumbuki huyo VC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…