Nakula bila kujisaidia.msaada tafadhali.

Umepata ushauri wa kutosha ngoja mi nikutanie tu.
inaonekana una Toilet tumboni
 
Bila kusahau papai, usidhubutu mapera mkuu (fair warning)

Kumbe mapera yana matatizo wakuu, nilienda shamba kipindi hiki cha mvua, nilikula mapera mawili makubwa, nilipata choo baada ya siku tatu, na bado hali haijarudi vizuri hadi sasa.
 
Kumbe mapera yana matatizo wakuu, nilienda shamba kipindi hiki cha mvua, nilikula mapera mawili makubwa, nilipata choo baada ya siku tatu, na bado hali haijarudi vizuri hadi sasa.

Mkuu kitu mapera usiombe asee, mi nilishawahi ghairi kama mara 5 hivi, naingia toilet natoka. Haifai hiyo kitu ati
 
MzizizMkavu nimekuvulia KOFIA kwa mambo ya afya. Nimepata elimu kubwa sana hapa. Nitaifanyia kazi manake mara kadhaa tatizo hili hunitokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…