Am For Real
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 323
- 770
Ngoja nijaribu mkuu Jana nimefukia mkungu wa ndizi matokeo ni kukosa choo na mgongo kuumaKula papai lililoiva sana, utanishukuru baadae.
Hospital umekwenda?,wamekwambia nini?Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana.Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi.Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi.Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana.Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###
Hospitali nimeenda doctor akadai aniingize kidole nipime nikakataaHospital umekwenda?,wamekwambia nini?
Hospitali zenyewe siku hizi ubabaishaji mwingi, mtu anaumwa tumbo wanaanza kumchunguza masikio, sijui kuna wimbi la waganga feki!!!Hospital umekwenda?,wamekwambia nini?
Kula embe bivu na maganda yake.Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana.Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi.Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi.Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana.Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###
Kula mboga mboga za majani kwa wingi na matunda kama mapapai,parachichi,mtindi kwa sana!Bila kusahau maji na mazoezi kwa sana ,utakuja kunishukuru.Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana.Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi.Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi.Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana.Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###
Ni muhimu sana kumuona daktari mapema...Kama wewe ni wale ambao tunakunya Kwa neema Njoo hapa haraka Sana.Imefikia hatua nakula nikilala usiku nasali kesho nipate choo.
Nakula Sana lakini sijui chakula kinaenda wapi.Tumbo linauma pia na limekuwa likitambi.Kuna muda naamua kunywa uji siku nzima ilimradi kupunguza maumivu.
Nakula kidogo nashiba haraka Sana.Na maumivu ya mgongo Kwa chini ambayo nahisi yametokana na taka vyakula kutotoka.
Nakumbuza enzi zile mfumo wa mmeng'enyo ulikuwa vizuri sikuwahi para shida kama hizi.
##Soso Take my pain###
Asipofuata huu ushauri itakua hataki kupona.Kunywa oil chafu ama grease
Kula hata matatu kwa mpigo.Kula embe bivu na maganda yake.
Ukiweka ndimu minyoo hakuna mkuu Wala taifodiNi muhimu sana kumuona daktari mapema...
Kinyumbani nyumbani,
Japo binafsi sipendi, lakini nilijaribu ikafanya kazi 100% kesho yake tena asubuh sana...
nilifundishwa na kuelekezwa hivi tumia kachumbari ya kutosha, yaani nyanya 2, kitunguu ki1, hoho kama ipo, karoti, pilipili kama unatumia ukamulie ndimu au limao.
Kula hiyo kitu ya kutosha kama mboga yako ya usiku,
Asubuhi kesho Lazima utarepoti kwa choo....
Kumbuka chanzo mojawapo cha minyoo ni kachumbari