mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Wakenya wana makampuni ya insurance supermarket ma bank magazeti lakini hapa tanzaniA lakini watanzania hawana investments yoyote kenya wanatuwekea vikwazo sana, zaidi ni kupeleka raw materials kama magogo ngozi asali mahindiKwetu wanakuja kwao hawataki tuende,CRDB Bank walitaka kufunguz tawi Nairobi walifanyiwa fitina sana
Taarifa nilizozipata kutoka kwa rafiki wa karibu ni kwamba NAKUMATT imefungua branch Dar es salaam. Walioko Dar mtujuze hizi taarifa kama zina uhakika.
Kwetu wanakuja kwao hawataki tuende,CRDB Bank walitaka kufunguz tawi Nairobi walifanyiwa fitina sana
Samahani mkuu nauliza tu ulikuwa umefungwa jela? Samahani lakini.
mende 2014 umezoea kuibuka usiku, ndio maana huna taarifa za wakatiTaarifa nilizozipata kutoka kwa rafiki wa karibu ni kwamba NAKUMATT imefungua branch Dar es salaam. Walioko Dar mtujuze hizi taarifa kama zina uhakika.
Lakini hili jina, mmmh, wangetafuta jina linalo-sound vizuri masikioni:smiling:Taarifa nilizozipata kutoka kwa rafiki wa karibu ni kwamba NAKUMATT imefungua branch Dar es salaam. Walioko Dar mtujuze hizi taarifa kama zina uhakika.
Mabingwa wa supermarket SUKITA nao kurudi hewani soon.
Lakini hili jina, mmmh, wangetafuta jina linalo-sound vizuri masikioni:smiling:
Wala hakuna cha ajabu !Jana nilipita nikaona kitu kipya nikaingia ....na kawaida sana ,Shoprite walivyoaanza walikuwa vizuri!Taarifa nilizozipata kutoka kwa rafiki wa karibu ni kwamba NAKUMATT imefungua branch Dar es salaam. Walioko Dar mtujuze hizi taarifa kama zina uhakika.