Nakumatt Uganda imefungwa, malori sita yakamatwa yakiondoka usiku wa manane

Nakumatt Uganda imefungwa, malori sita yakamatwa yakiondoka usiku wa manane

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Ninachokionaa leo ni muendelezo tu, niko Uganda nako huku Nakumatt wamefungiwa na URA branch tatu kwa kutolipa kodi na kutowalipa waliokuwa wakipeleka bidhaa.

Baada ya kutonywa hali halisi wahusika waliwahi mahakamani kuzuia mali za Nakumatt kutoka mpaka walipe fedha zao bil 17.

Hata hivyo pesa ni pesa, walinzi walirubuniwa wakiwemo polisi waliokuwa na silaha na kuruhsu magari nane kutoka yakiwa na bidhaa kurudi Kenya

Hatimae malori hayo yalikmatwa mapema usiku na kurudishwa yard. Baadae mahakama imeamuru malori hayo kuuzwa na mnada utafanyika Jumamosi ili kulipia madeni ya wahusika na kodi ya Serikali.
 
Screenshot_20171016-152648.png
Screenshot_20171016-152700.png
 
wakati mnafungua biashara muwe mnaangalia majina yenye tija.Hilo jina ni vigumu mama kumtuma mtoto kila wakati dukani.NA **** T!!
 
Wakati uchumi wanafunga nilikiwa uganda boda nkauliza humu serkl tumejipangaje na supermarket ya uchumi??

W\lemarafiki wa fb Watakumbuka nimeuliza majuzi.serk wamejipangaje na nakumaty ..just a week shida imeanza

je shida n nakumatt????
shida ni uchumi???

thinks is time for the goV ti watch this guys...
siwezi lalamikia serk ya mh JPM HATA KIDOGO MPAKA WAMEAMUA HAYA WAMEWABEBA VYA KUTOSHA...SASA MH AKAE NA TIMUYAKE WAANGALIE WANAPOKUJA HAWA JAMAA WANAWABANAJE KULIP KODI......UGANDA KINACHOENDELEA NAHISI BAADHI YA WAH WATALALAA SEGEREA YA UGANFA
 
Nakumatt si wangebet tu


wapuuziiii waleee kwasiojuaaa kuna vitu walikuwa wanaenda kuokoteza eastrandmall buree vingi mnakuja kuuZIWA 70K +........NINA WALE AWAFAI KABISA NIWAJUZE SERIKALI KAMA WAMEFUNGIA NAKUMATT WAJIANDAE KUFUNGIA LILE DUKA LA MBELE MWISHO MLIMANI CITY UPANDE WA KUSHOTO....MWENYE REKODI AWEKE REKODI.. SOON NAO WANAFUNGA...
 
Mkuu hiliniduka la mandugu wawili wamewageuka wenzao wanajua loop zote walizopitia usithubutu kumwonyesha hawara mianya ya kukwepa kodi atazaa na wewe mapacha iposiku
Ni shida asee
 
Back
Top Bottom