nakumbuka harusi ya Sinza Delux

tunalazimika

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
1,098
Reaction score
259
kama kawa wambea zetu kukaa karibu na mlango ili wanaoingia na kutoka tuwaone_mpango mzima ulianza wakat wa maakul ambapo mc aliwataarifu wajumbe kuwa sasa mtumish wa Mungu alikuwa anaingia ukumbin kufikisha injili kwa njia ya uimbaji_ghafla akaingia ndugu moja anatambaa, ni mlemavu wa miguu na ni kipofu pia_mshikaji alicheza masong kwa hisia ya hatar huku ameshikilia bible yake na kufanikiwa kujazakapu la minot including mwekundu wangu_masong ya akina Solomon mkubwa na wengine kibao, alivomaliza wakat wa kutoka akanigusa mguun na kuniomba nimtafutie chobingo asikilizie sikilizie_akaniomba nimuombee kinywaji, hapa ndo alinivunja mbavu_nikamuuliza soda gani, mshikaji akasema akasema kwa saut ya kichungaji_SAFARI BARIIIID, sikuamin_nikamuuliza tena jama akajibu vile vile_mshikaj alipiga kinywaj acha mpaka watu kidogo waombe hela zao kwsbb walijua mshikaj sio mchungaj wala nn _haya wale wameo wah kuhudhuria kumbi nyingine kama saba saba(saida karol wa magumash) na kwingine leten michango!
 
Si wote wasemao Bwana Bwana watauona ufalme wa mbingu!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…