lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Mnyika alishaingia Kingi,
Alishatengenezewa zengwe na Mkuu wa Green Guard, Field Marshal Jemedari. Zengwe lenyewe ni kuwa Mnyika alitumia Meseji Jemedari kuwa atamuua.
Field Marshal akaleta ujumbe wa Simu kwa Spika Anna. Spika Anna akawaka sana kuwa tumefanya siasa zote lakini siasa za kuuana hatujafikia.
Mnyika akawekwa mtu Kati. Uchunguzi ukaanza, maonyo yakatolewa kuwa Mnyika atafungwa. Kwa sababu ni kweli namba iliyotoa vitisho ni ya Mnyika kwenda kwa Field Marshal.
Hali ilikua ngumu sana, wabunge wote wa CCM wakamchna Sana mnyika na CHADEMA yake. Hofu ikatamalaki, Huenda Mnyika atafungwa kwa kutishia kuua. Na pia huenda Chadema ikfutwa. Hali ikawa tete.
Mabere Nyaucho Marando former Spy akaibuka,akaingia kitaa,akafanya ujasusi wake,akagundua kuwa ni kweli Field Marshal katumiwa Meseji ya vitisho vya kuuliwa na Mnyika na ni kweli namba iliyotuma ni ya Mnyika.
Mabere alimhoji Mnyika kwa viapo na Mnyika almhakikishia kabisa kuwa hakumtumia kabisa Meseji ya kumuua Field Marshal.
Mabere alitumia mbinu zake zote za kiintelijensia kutaka kujua ni nini kilichofanyika maana simu ya Mnyika haikuwahi kuibiwa wala kupotea.
Aaah bwana eeh!
Marando aligundua kuwa kumbe Meseji alijitumia mwenyewe kwa kutumia kifaa maalumu kinachoitwa TELEPHONE SPUFFING.
Marando akaitisha Press conference na kueleza yote juu ya kifaa hicho, kilikopatikana, malengo yake na kinavyotumika.
Hali hiyo ni kwamba sio tu ilimuokoa Mnyika hapana, bali pia ilibadilisha kabisa kibao na kuleta hofu upande wa pili.
Upande wa pili Ukawa sasa uko katika hali ya kujitetea.
Asante Mabere Nyaucho Marando.
Uko wapi kaka?
Alishatengenezewa zengwe na Mkuu wa Green Guard, Field Marshal Jemedari. Zengwe lenyewe ni kuwa Mnyika alitumia Meseji Jemedari kuwa atamuua.
Field Marshal akaleta ujumbe wa Simu kwa Spika Anna. Spika Anna akawaka sana kuwa tumefanya siasa zote lakini siasa za kuuana hatujafikia.
Mnyika akawekwa mtu Kati. Uchunguzi ukaanza, maonyo yakatolewa kuwa Mnyika atafungwa. Kwa sababu ni kweli namba iliyotoa vitisho ni ya Mnyika kwenda kwa Field Marshal.
Hali ilikua ngumu sana, wabunge wote wa CCM wakamchna Sana mnyika na CHADEMA yake. Hofu ikatamalaki, Huenda Mnyika atafungwa kwa kutishia kuua. Na pia huenda Chadema ikfutwa. Hali ikawa tete.
Mabere Nyaucho Marando former Spy akaibuka,akaingia kitaa,akafanya ujasusi wake,akagundua kuwa ni kweli Field Marshal katumiwa Meseji ya vitisho vya kuuliwa na Mnyika na ni kweli namba iliyotuma ni ya Mnyika.
Mabere alimhoji Mnyika kwa viapo na Mnyika almhakikishia kabisa kuwa hakumtumia kabisa Meseji ya kumuua Field Marshal.
Mabere alitumia mbinu zake zote za kiintelijensia kutaka kujua ni nini kilichofanyika maana simu ya Mnyika haikuwahi kuibiwa wala kupotea.
Aaah bwana eeh!
Marando aligundua kuwa kumbe Meseji alijitumia mwenyewe kwa kutumia kifaa maalumu kinachoitwa TELEPHONE SPUFFING.
Marando akaitisha Press conference na kueleza yote juu ya kifaa hicho, kilikopatikana, malengo yake na kinavyotumika.
Hali hiyo ni kwamba sio tu ilimuokoa Mnyika hapana, bali pia ilibadilisha kabisa kibao na kuleta hofu upande wa pili.
Upande wa pili Ukawa sasa uko katika hali ya kujitetea.
Asante Mabere Nyaucho Marando.
Uko wapi kaka?