Nakumbuka mbali sana

Nakumbuka mbali sana

Under-cover

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2023
Posts
1,834
Reaction score
3,042
😥 Wakuu hapa nipo hospitali namuuguza ndugu fulani hivi ila nimekumbuka mbali sana, ni sehemu ambapo 2022 nililazwa, basi nilikuwaga nimepata kimanzi changu first year wakati niko third year, ndugu yangu kalazwa kile kile chumba nilicholazwa tofauti ni kitanda tu, sasa nipo kwa pembeni hapa nakiangalia kile kitanda nilipolazwa, naangalia sehemu ile babe mama yule alipokuwa ameketi pembeni yangu huku amenishika mkono tukiongea mengi moja wapo ni ile neno nilimwambia mamy usije ukaondoka maishani mwangu, basi ile ananiangia kwa mahaba na kuitikia, vile alivokuwa anakatisha masomo mchana anakuja hospitali na kuniletea matunda ile caring aisee nilihisi nimependelewa, bado nikitoka nje nikitembea mida ya night nakumbuka tulivyokuwa tunatoka namsindikiza huku kukiwa na baridi, tena usiku yaani kama wakorea fulani hivi, tumeshikana na kucheka, aisee nilimpenda sana yule manzi wa kimeru (R) na kile kiwimbo cha only you cha Christian Bela na Rosa Lee, ila ndio yakatokea ya kutokea tulishaachana, sikuwahi kutamani mwingine nilimfanya 1 & only i, eti leo hatuongei, maadui, mapenzi ni umbwa.🚮🚮
 
Usipende ugenini , utainhia hatiani
Mapenzi yana hadaa ndugu nakuusia
 
😥 Wakuu hapa nipo hospital namuuguza ndugu fulani iv ila nimekumbuka mbali sana, ni sehemu ambapo 2022 nililazwa, basi nilikuwaga nimepata kimanzi changu first ywar wakat niko third year, ndugu yangu kalazwa kile kile chumba nilicholazwa tofaut ni kitanda tu, sasa nipo kwa pemben hapa nakiangalia kile kitanda nilipolazwa, naangalia sehem ile babe mama yule alipokuwa ameketi pembeni yangu huku amenishika mkono tukiongea mengi moj wapo ni ile neno nilimwambia mamy usijeukaondoka maishani mwangu, basi ile ananiangia kwa mahaba na kuitikia, vile alivokuwa anakatisha masomo mchana anakuja hospitali na kuniletea matunda ile caring aisee nilihisi nimependelewa, bado nikitoka nje nikitembea mida ya night nakumbuka tulivokuwa tunatoka namsindikiza huku kukiwa na baridi , tena usiku yaani kama wakorea flani ivi ,tumeshikana na kucheka, aisee nilimpenda sana yule manzi wa kimeru (R) na kile kiwimbo cha only yku cha chriatian bela na rosalee ,ila ndio yakatokea ya kutokea tulishaachana , sikuwahi kutamani mwingine nilimfanya 1 & only i, et leo hatuongei, maadui, mapenzi ni umbwa.🚮🚮
Unaandika vibaya aisee, dada wa watu aliona mbali.
 
Ulipiga mara ngapi?
Au ndo hata pussy yake hujui inafananaje?.
 
Maisha ndo yako hivyo. Pussy is never yours
Ukiujua huu ukweli utaishi kwa amani sana!

images.jpeg-7.jpg


Japo kuna wenye bahati kama huyu Noel 👇🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

downloadfile-365.jpg
 
Nikajua utaelezea namna umekula tunda kwenye vyumba vya hospital na ukakutwa na nurse badala ya kuwafukuza akalinda hadi kaz iishe
 
[emoji26] Wakuu hapa nipo hospitali namuuguza ndugu fulani hivi ila nimekumbuka mbali sana, ni sehemu ambapo 2022 nililazwa, basi nilikuwaga nimepata kimanzi changu first year wakati niko third year, ndugu yangu kalazwa kile kile chumba nilicholazwa tofauti ni kitanda tu, sasa nipo kwa pembeni hapa nakiangalia kile kitanda nilipolazwa, naangalia sehemu ile babe mama yule alipokuwa ameketi pembeni yangu huku amenishika mkono tukiongea mengi moja wapo ni ile neno nilimwambia mamy usije ukaondoka maishani mwangu, basi ile ananiangia kwa mahaba na kuitikia, vile alivokuwa anakatisha masomo mchana anakuja hospitali na kuniletea matunda ile caring aisee nilihisi nimependelewa, bado nikitoka nje nikitembea mida ya night nakumbuka tulivyokuwa tunatoka namsindikiza huku kukiwa na baridi, tena usiku yaani kama wakorea fulani hivi, tumeshikana na kucheka, aisee nilimpenda sana yule manzi wa kimeru (R) na kile kiwimbo cha only you cha Christian Bela na Rosa Lee, ila ndio yakatokea ya kutokea tulishaachana, sikuwahi kutamani mwingine nilimfanya 1 & only i, eti leo hatuongei, maadui, mapenzi ni umbwa.[emoji706][emoji706]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
😥 Wakuu hapa nipo hospitali namuuguza ndugu fulani hivi ila nimekumbuka mbali sana, ni sehemu ambapo 2022 nililazwa, basi nilikuwaga nimepata kimanzi changu first year wakati niko third year, ndugu yangu kalazwa kile kile chumba nilicholazwa tofauti ni kitanda tu, sasa nipo kwa pembeni hapa nakiangalia kile kitanda nilipolazwa, naangalia sehemu ile babe mama yule alipokuwa ameketi pembeni yangu huku amenishika mkono tukiongea mengi moja wapo ni ile neno nilimwambia mamy usije ukaondoka maishani mwangu, basi ile ananiangia kwa mahaba na kuitikia, vile alivokuwa anakatisha masomo mchana anakuja hospitali na kuniletea matunda ile caring aisee nilihisi nimependelewa, bado nikitoka nje nikitembea mida ya night nakumbuka tulivyokuwa tunatoka namsindikiza huku kukiwa na baridi, tena usiku yaani kama wakorea fulani hivi, tumeshikana na kucheka, aisee nilimpenda sana yule manzi wa kimeru (R) na kile kiwimbo cha only you cha Christian Bela na Rosa Lee, ila ndio yakatokea ya kutokea tulishaachana, sikuwahi kutamani mwingine nilimfanya 1 & only i, eti leo hatuongei, maadui, mapenzi ni umbwa.🚮🚮
Nimesikitika kweri kweri
Cc BICHWA KOMWE - , Maghayo, litutumbwe
 
Back
Top Bottom