Nakumbuka Mitihani yetu ya Darasa la Saba ilikuwa inaanza ivi

Mmh hujawahi kukutana na hesabu za mwendo kasi,umbali na mda, ktk maswali ya drs la7? we Chinchilla wewe mungu anakuona. kwa hilo la sekondari sina maelezo nalo ila kwa hayo niliyoyataja vp
mwendokasi ulikuwepo ila simple sana, kutafuta muda huku umepewa umbali na mwendokasi, au kutafuta mwendokasi huku umepewa umbali na muda, walikuwa hawaya complicate kama la mtoa mada,
maswali ya mtoa mada ni la sekondari form 3

I'm not seeking forgiveness
 
Darasa la saba kulikuwa hakuna maswali magumu kama hayo, huo ni ukilaza wako unashindwa kutofautisha hata maswali ya la saba na sekondari
Hivi umezaliwa awamu ya nani vile mkapa au kikwete,, hii post haikuhusu aiseee
 
Hivi umezaliwa awamu ya nani vile mkapa au kikwete,, hii post haikuhusu aiseee
mimi ni mdau mkubwa wa hesabu ndio maana nasema kwa kujiamini hilo swali sio la darasa la saba
Kama hujui hesabu plz usianze kujejeli watu wa hesabu

I'm not seeking forgiveness
 
Thanks
 
Unaonekana wewe ni mtoto wa juzi , miaka ya 90+ kulikuwa na maswali zaid ya hilo darasa la saba. Unadhan ni awamu ya vilaza ile ambayo mnapewa maswali ya hesabu ya kuchagua?
Nakumbuka wakati huo swali/kazi/jibu. Sasa hivi unajibu hesabu Kwa ana ana ana dooo unapachika A
 
Unaonesha na mpango kazi/njia umepataje jibu.Hatari sn
 
Reactions: Luv
Wewe ndiyo kilaza unakataaje hilo swali si la shule ya msingi wakati kipindi chetu tulifanya tukiwa primary! Nyingi ndiyo mnayoidhalilisha elimu mnajifanya wajuaji kumbe hopeless kabsa
 
Wengi tulikua tukipata 25/50...Daa kuna Vyombo vilikua matata sana hujaenda Maumbo,Mwendokasi,Mzingo,kipenyo,Tena anakwambia tumia pai kama 3.144,Hujaenda mlinganyo,Mkuu unajikuta unangaa sharubu tuu na kutumia bikari bila kujua hata unafanya nn
 
afu swali la 46 linahusu MAJIRA YA NUKTA!
 
Umekosea kdogo. Mtiti ulikua unaanzia swali la 31. Babu unatamani waseme ishieni hapohapo ulipofikia
Yote Tisa kiboko ilikuwa maswali ya umri jamani jamani sitosahau nipo advance cbg nilivorudi likozo dogo darasa LA Saba ananiletea hilo swali La umri nilichomjibu mpaka Leo anajua kaka yake nasoma kiswahili na literature
 
review za shule ya msingi nimenunua mwenyewe, na ni kabla ya 2010, 2010 mbali sana

I'm not seeking forgiveness

Naomba niingilie huu ubishi mkuu chinchilla coat na wadau wengine, hili ni swali la topic gani kwa anayesema ni la darasa la saba, na kwa anayesema ni la form 3.
 
mimi ni mdau mkubwa wa hesabu ndio maana nasema kwa kujiamini hilo swali sio la darasa la saba
Kama hujui hesabu plz usianze kujejeli watu wa hesabu

I'm not seeking forgiveness
Hivi wee hunioni haya kila mtu anakukosoa wee! Vitoto vya hivi ndyo vile vilivyopata kila kitu kwa kulala chali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…