Nakumiss Mangwea

Ushaambiwa ucguse maj kama huwez kuogelea, onawanatapatapa hawana pakutokea, wanakoca cha kuongea wanakaa kumdic ngwair!!

 
Hivi mademu kwa nn hamjiamini mwanaume kwa mwanamke ni sawa na mfupa kwa fisi... yeah... rip mangwea
 
bastola cash and toa code someka
wapi lipo bata wapi leo kinaeleweka
napesa mingi mpaka natamani jiteka
then watu wako kingstone ka jamaica
ni mamodal madodo waku roll na magangsta
divas and hustlers, paper, chasers [HASHTAG]#tunakesha[/HASHTAG] kama CNN
 
kwa kuskesha na kula bata tuko so allergic
kwa watoto wa geti kali we r so magnetic
mapedeshee wanapigwa tu mitama account zao
si tunazidi chafua bedsheets za mama zao
tunajikinga japo wanamind kuzaa nasi
wanathamani ya diamond na tunawabeba for free
ishu zote unasimamia playboy ana understand
na leo kesho akizingua unatake her bestfriend [HASHTAG]#tunakesha[/HASHTAG] kama CNN
 
Simmiss wala nini

Alishiriki kuwaharibu vijana wenzie kwa mangano yale
 
She gotta gwan!
Kisaa kwangu we ndo umefikaaa

Nami naapa

Haki ya Mungu sitakuacha!
 
Nyie na mademu nanyii

Nisikilizeni kwa makini

Hivi nyie kwa nn mnakua hamjiamini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…