Nakunywa coca cola 5 kila siku, nifanyaje niache!?

Nakunywa coca cola 5 kila siku, nifanyaje niache!?

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
8,581
Reaction score
15,618
Nimejaribu kujizuia lakini nashindwa. Nakunywa wastani wa coca cola 4-5 kwa siku. Nikiamka tu kabla sijala chochote nakung'uta coca baridi. Nikigonga supu naisukumia na coca baridi.

Mchana nikipata menu, napumzika kama dk 15 naweka coca baridi. Mitaa ya saa kumi wakati napumzika baada ya mishe nagonga coca baridi. Usiku kama sijanywa pombe (lite) nikiwa na washkaji napiga coke baridi.

Hii maanake Nina bajeti ya kama 90000/= kwa ajili ya soda kwa mwezi. Nifanyaje niachane na hii kitu?
 
Kuacha ni uamuzi

Mie nilikuwa asubuhi soda ndio chai...mchana soda jioni soda nikiwa na kiu soda.

Nikaamua sasa soda basi. Ni mwendo wa maji tena nilijipangia sio chini ya lita 3 kwa siku.

Nina mwaka saaa hata uniweke kwenye kisima cha soda sina hamu nayo. (Ile hamu ya passion ya baridiiuiiiii au koka ya baridiiii shurti ikuchome koo...imekwisha )
 
Nimejaribu kujizuia lakini nashindwa. Nakunywa wastani wa coca cola 4-5 kwa siku. Nikiamka tu kabla sijala chochote nakunguta coca baridi. Nikigonga supu naisukumia na coco baridi.

Mchana nikipata menu, napumzika kama dk 15 naweka coco baridi. Mitaa ya saa kumi wakati napumzika baada ya mishe nagonga coca baridi. Usiku kama sijanywa pambe (lite) nikiwa na washkaji napiga coke baridi.

Hii maanake Nina bajeti ya kama 90000/= kwa ajili ya soda kwa mwezi. Kafanyaje niachane na hii kitu?

Alternative yake nakushauri vuta sana bangi / bange mkuu utaokoa bajeti yako na utakuwa very normal na kufurahia maisha.
 
Nimejaribu kujizuia lakini nashindwa. Nakunywa wastani wa coca cola 4-5 kwa siku. Nikiamka tu kabla sijala chochote nakunguta coca baridi. Nikigonga supu naisukumia na coco baridi.

Mchana nikipata menu, napumzika kama dk 15 naweka coco baridi. Mitaa ya saa kumi wakati napumzika baada ya mishe nagonga coca baridi. Usiku kama sijanywa pambe (lite) nikiwa na washkaji napiga coke baridi.

Hii maanake Nina bajeti ya kama 90000/= kwa ajili ya soda kwa mwezi. Kafanyaje niachane na hii kitu?

Kunywa maji.
 
Khaa!! Mbona hiyo simpo tu, Saidia yatima wasiojiweza Tshs 90,000/ mara unapopata mshiko wako. Utajikuta umeacha tu 😎
 
Nimejaribu kujizuia lakini nashindwa. Nakunywa wastani wa coca cola 4-5 kwa siku. Nikiamka tu kabla sijala chochote nakunguta coca baridi. Nikigonga supu naisukumia na coco baridi.

Mchana nikipata menu, napumzika kama dk 15 naweka coco baridi. Mitaa ya saa kumi wakati napumzika baada ya mishe nagonga coca baridi. Usiku kama sijanywa pambe (lite) nikiwa na washkaji napiga coke baridi.

Hii maanake Nina bajeti ya kama 90000/= kwa ajili ya soda kwa mwezi. Kafanyaje niachane na hii kitu?

Pole sana Mkuu,

Ila jaribu kunywa lita moja ya maji saa 12 asubuhi ukiamka..

Fanya hivyo mchana baada ya kula..

Fanya hivyo Usiku tena baada ya kula...

Fanya at lest unywe 3 litres za maji kwa siku/ Hizo coca unazokunywa unaongeza kiasi kikubwa cha sukari....ni hatari kwa afya yako
 
Nimejaribu kujizuia lakini nashindwa. Nakunywa wastani wa coca cola 4-5 kwa siku. Nikiamka tu kabla sijala chochote nakunguta coca baridi. Nikigonga supu naisukumia na coco baridi.

Mchana nikipata menu, napumzika kama dk 15 naweka coco baridi. Mitaa ya saa kumi wakati napumzika baada ya mishe nagonga coca baridi. Usiku kama sijanywa pambe (lite) nikiwa na washkaji napiga coke baridi.

Hii maanake Nina bajeti ya kama 90000/= kwa ajili ya soda kwa mwezi. Kafanyaje niachane na hii kitu?

hiyo soda ina kiwango kikubwa sana cha sukari ambayo ni hatari sana kwa afya.usipo fanya juhudi ya kuacha km ni wa kiume basi jiandae kumtafutia wife mtu wa kumridhisha utapofika umri wa makamu,maana lazima gari litakuwa la kusukuma ama kupiga hendeli
 
Daaaa unakaribisha magonjwa mengi sana mwilini pole sana. Kongosho na moyo wako ushavitia doa. Nakuomba kwanza acha kupenda kunywa vitu baridi. Pili tunia maji ya limao fresh mara kwa mara. Waweza PM kwa maelezo zaidi
 
Nimejaribu kujizuia lakini nashindwa. Nakunywa wastani wa coca cola 4-5 kwa siku. Nikiamka tu kabla sijala chochote nakunguta coca baridi. Nikigonga supu naisukumia na coco baridi.

Mchana nikipata menu, napumzika kama dk 15 naweka coco baridi. Mitaa ya saa kumi wakati napumzika baada ya mishe nagonga coca baridi. Usiku kama sijanywa pambe (lite) nikiwa na washkaji napiga coke baridi.

Hii maanake Nina bajeti ya kama 90000/= kwa ajili ya soda kwa mwezi. Kafanyaje niachane na hii kitu?

Mkuu acha kabisa. Chupa Mona ya coke ukinywa ni sawa na kula vijiko vya sukari vitano. Hii ni mbaya kwa afya mkuu. Ukiendelea, kisugar kileeeeee kinakujia!
 
Nimejaribu kujizuia lakini nashindwa. Nakunywa wastani wa coca cola 4-5 kwa siku. Nikiamka tu kabla sijala chochote nakunguta coca baridi. Nikigonga supu naisukumia na coco baridi.

Mchana nikipata menu, napumzika kama dk 15 naweka coco baridi. Mitaa ya saa kumi wakati napumzika baada ya mishe nagonga coca baridi. Usiku kama sijanywa pambe (lite) nikiwa na washkaji napiga coke baridi.

Hii maanake Nina bajeti ya kama 90000/= kwa ajili ya soda kwa mwezi. Kafanyaje niachane na hii kitu?

coke huondoa hamu a kunywa maji. na ni hatari kwa afya. itakunenepesha na kukupa shape mbaya sana.
jitahidi kutembea ukiwa na chupa ya maji...
 
Nimejaribu kujizuia lakini nashindwa. Nakunywa wastani wa coca cola 4-5 kwa siku. Nikiamka tu kabla sijala chochote nakunguta coca baridi. Nikigonga supu naisukumia na coco baridi.

Mchana nikipata menu, napumzika kama dk 15 naweka coco baridi. Mitaa ya saa kumi wakati napumzika baada ya mishe nagonga coca baridi. Usiku kama sijanywa pambe (lite) nikiwa na washkaji napiga coke baridi.

Hii maanake Nina bajeti ya kama 90000/= kwa ajili ya soda kwa mwezi. Kafanyaje niachane na hii kitu?

marehemu sajuki,alikua na tatizo kama lako,la kunywa soda nyingi kwa siku,kwa faida yako tu soda moja inakaa mwilini kwa muda wa miezi 6 na inabeba vijiko 12 vya sukari,kibaya zaid huongez chochote cha maana mwilini
 
Ongeza zingine mbili ili uinjoi vizuri nafsi yako
 
Nimejaribu kujizuia lakini nashindwa. Nakunywa wastani wa coca cola 4-5 kwa siku. Nikiamka tu kabla sijala chochote nakung'uta coca baridi. Nikigonga supu naisukumia na coca baridi.

Mchana nikipata menu, napumzika kama dk 15 naweka coca baridi. Mitaa ya saa kumi wakati napumzika baada ya mishe nagonga coca baridi. Usiku kama sijanywa pombe (lite) nikiwa na washkaji napiga coke baridi.

Hii maanake Nina bajeti ya kama 90000/= kwa ajili ya soda kwa mwezi. Nifanyaje niachane na hii kitu?

Ni PM nikushauri jinsi ya kuondoa ttz taratibu mpk usahau hizo soda. Gday
 
VIWANJA VINAUZWA MBWENI. kwa wanaohitaji viwanja maeneo ya mbweni jkt barabara ya bagamoyo tuwasiliane kupitia namba 0712464777 pia kuna kiwanja kinauzwa kipo ndani ya fens kina nyumba ndogo kina ukubwa wa meter 1435.
 

Attachments

  • 1447679561283.jpg
    1447679561283.jpg
    71.8 KB · Views: 103
Back
Top Bottom