mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Mh Ole Sendeka nakuomba sana mwaka 2020 jimbo la Simanjiro ni lako .Wewe ni mwanaccm damu huyo aliyekuwa mbunge nasikia kapanda bei eti anaomba kurudi CCM , tunachosema mwaka 2020 jimbo ni lako kama alitusaliti akaenda upinzani na huko upinzani kawasaliti hata sisi atatusaliti tena Mbunge wetu ni wewe.