Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
-
- #21
Waniue tu mkuu maisha yemyew nishayachoka walah. Bongo nyoso sanaWe acha tu! Wewe jamaa uzidi kubarikiwa ingawa najua kuna watu wenye roho za choyo watakumaindi sana hadi kutamani kukuloga.
ExactlyUnakwepa mabomu sio?
Dar sina mtu wa haraka kwa sasa sina mkuuMana nilikuelekeza kabisa duka la kwenda pale. Hauna ndugu dar hapa nimpeleke
Ngoja nitapita hapo wakat naondokaDar sina mtu wa haraka kwa sasa sina mkuu
Usichoke mkuu, endelea kusonga mbele. Maisha ni kitendawili inabidi utegue.Waniue tu mkuu maisha yemyew nishayachoka walah. Bongo nyoso sana
Mm na wewe ms r mpaka kifo kitutenganishekumbe kuna sehem nmetulia na sielewi
Mnaendaga lakinHuna baya
Nataka chimbo la abaya ntaenda chapMnaendaga lakin
Uturuki au? Wewe mtafte mtu anaitwa MAMA HAWA! yuko aggrey na Congo au nenda aggrey na Nyamwezi kuna benki ya exim/ duka la African boy ulizia "Dubai underground".Nataka chimbo la abaya ntaenda chap
na tusipokufa jeeeMm na wewe ms r mpaka kifo kitutenganishe
Tutaishi milele kwenye dunia yetu nzur mnoo! Your the queen of my heartna tusipokufa jeee
io kingdom iko wap mheshimiwaTutaishi milele kwenye dunia yetu nzur mnoo! Your the queen of my heart
Ni nzuri
Kwenye dunia ya watu wasiokufaio kingdom iko wap mheshimiwa
Kwa kupambana kutafuta masoko, maana bila shaka hiyo ni ofisi yako au wewe ni winga au pointer unapiga kamisheni πππHongera ya nn mkuu