Nakupa Siri ya kuwapata wadada wa kichaga

Msandawe Halisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
647
Reaction score
351
Mweekee bajeti ya kiasi cha pesa, muonge mara ya kwanza, ya pili, ya tatu mpaka ya tano. Mara ya sita omba mzigo. Walahii Aruki!!! Ukiingia kwa sound, mtafika kigoma kwa treni na kurudi hata safari mia, akuelewi. Hawa awana moyo wa kupenda, maslai kwanza.
 
Acha kudanganya watu bwana ina maana tunapenda sana pesa kuliko mapenzi??? Mbona thread za wachaga zimekuwa nyingi nini tumekosea??
 
Acha kudanganya watu bwana ina maana tunapenda sana pesa kuliko mapenzi??? Mbona thread za wachaga zimekuwa nyingi nini tumekosea??

Na wewe mwenyewe wa Milimani Rombo, Kilema?
 
danganya watu wewe mbona wangu mchaga na kanipenda mwenyewe wala sent yangu sijampa
 

du ishu kama kula mzigo si bora niende kona bar, nahonga mara moja nakula mzigo chini ya professional
 

Labda hii ndio inasababisha wakinadada wa kichaga wanaolewa zaidi kulinganisha na wale makabila mengine?
 
du ishu kama kula mzigo si bora niende kona bar, nahonga mara moja nakula mzigo chini ya professional
Tofauti kati ya kona bar na uchagani ni quality. Mtoto wa kichaga kakulia kwa mtori, maziwa ya ngombe, skin nyororo. Wengi uwa wa ukweli
 
Hiyo ilikuwa zamani za Pontio Pilato! Siku hizi mbona nao siku ya kwanza tu mswanu tu bana
 


Mkuu nahisi kama ume-generalize sana na matokeo yake utafanya watu wataka-universalise principle yako chamoto watakiona maana hawa watu huwa wanamsimamo balaa. Nakumbuka kabla ya kuoa kuna mchaga mmoja nilimfuatilia alinitoa mkuku na panga, haelewi cha pesa wala nini..........

Ila bora hawa wanaokusumbua mpaka uchimbuke mifukoni. Wasandawe noma...hata kama hujaingia mfukoni ukimwambia uko tayari kuingia mfukoni...hata kama mfuko mweupe...yuko tayari



Kwetu kule "Useri" Karibu na ile shule ya sekondari

Dena poleni naona toka mwisho wa mwaka jana jamaa wamewakalia kooni mbaya
 
Mwenye masikio na asikie na asiyeamini nitakalosema afanye utafiti, akishindwa anitafute;
DAWA YA AKINA DADA WA KICHAGA NI WANAUME/WAKAKA WA KISUKUMA.
 
Mwenye masikio na asikie na asiyeamini nitakalosema afanye utafiti, akishindwa anitafute;
DAWA YA AKINA DADA WA KICHAGA NI WANAUME/WAKAKA WA KISUKUMA.

Sababu wasukuma ni wapole na wadada wa kichaga dakika 3 mbele, au?
 
Wasandawe wameubwa na moyo wa upendo kama wabantu wengi walivyo.
 
Mwenye masikio na asikie na asiyeamini nitakalosema afanye utafiti, akishindwa anitafute;
DAWA YA AKINA DADA WA KICHAGA NI WANAUME/WAKAKA WA KISUKUMA.





Naona kama kuna kaukweli hapo.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…