Eeeewaaaaaaa............dada zake Biggie wanapendwa saaaaaaaanaaaaa! ndo maana hawatoki midomoni kwao......🙂
sawa tu...wana wish wangetupata coz wana hakika hawatalala njaa na huduma kede kede....bad lucky![/QUOTE]
Nyamayao! Hapo kwenye red, why?
Inabidi uongeze mahari!Eeeewaaaaaaa............dada zake Biggie wanapendwa saaaaaaaanaaaaa! ndo maana hawatoki midomoni kwao......🙂
Sina pesa zakuoa mchaga wala sina Duka!Wachaga hoyeeeeeee!! Kakakiiza mambo vipi, Unataka kuoa au umeoa mchagga?? Tunashukuru kwa sababu unatupenda, nijibu hayo maswali kwanza, Halafu nitakuambia huwa tunataka nini hasa kwako!!
Kwanza mimi na Preta wangu!!aika meku....
Tunapenda mapenzi ya kweli..kujaliwa na kuheshimiwa..kama wengine tu!Ila vilaza ndo hawatakikani maana hata ukijaribu kupiga picha future yenu itakuaje unapata BLANK!Swali kwako..HIVI HAMCHOKI KUTUJADILI?[/QUOTE]
gud gal.
Wachaga Wakumwaga ila kwakuwa nipo comtd na Preta kiranga cha wachaga sina pole yenu!!Anaye ona na maonezi zaidi PM ila Preta asijue!!Sharti lakwanza mengine yataendelea......angepata bahat ya kuoa mchaga angeringa hata humu asingeingia. Nafikiri yupo kwenye mchakato wa kutafuta mchaga!
sawa tu...wana wish wangetupata coz wana hakika hawatalala njaa na huduma kede kede....bad lucky!
Umeanza vibaya kweli mbna Preta mwenyewe mchagga!Umeshaonyesha huna ubavu wa kua na mchagga na hiyo ndo bye bye yako!Sina pesa zakuoa mchaga wala sina Duka!
Kwanza mimi na Preta wangu!!
Wachaga Wakumwaga ila kwakuwa nipo comtd na Preta kiranga cha wachaga sina pole yenu!!Anaye ona na maonezi zaidi PM ila Preta asijue!!Sharti lakwanza mengine yataendelea......
sawa tu...wana wish wangetupata coz wana hakika hawatalala njaa na huduma kede kede....bad lucky![/QUOTE]
Nyamayao! Hapo kwenye red, why?
haaa pole kaka kumbe unasaka?..haaa ni kwa hao ambao hawaishi kutuweka midomoni lakini waulize waume zetu wanavyofurahia maisha watashaa!...btw nina mdogo nitakupigia pac ya kicgino...hahahah...wachaga tupo juu ackuambie mtu, waclete zao za 19 kweuc.
Lizzy cna nyongeza umemaliza, wanatupenda sana ndio mana hawaishi kutujadili.
Shost hupo heri ya mwaka mpya!!
Sina pesa zakuoa mchaga wala sina Duka!
Masharti na vigezo kuzingatiwa!Inabidi uongeze mahari!
So, you are feeling them totoz za kichaga?Never Be Afraid To Say what you feel, You can only Die once!!!
Ndo maana tutaendelea kuwajadili!!
kweli kabisa wanajua ni wahangaikaji, nesindiswamahatufanyi yote hayo alioyataja lkn tunatafutwa kama lulu, why? kwa sababu wanajua hata siku moja hawatalala njaa!
Masharti na vigezo kuzingatiwa!
Dada zangu tena dah ..........!!!
Napita tu..:car: