Nakupenda fumbato langu

Nakupenda fumbato langu

Joined
Sep 26, 2016
Posts
68
Reaction score
51
Nilalapo hujilaza ndani ya kifua chako niamkapo huamkia ndani ya mwili wako. Joto lako la mpnz nimeshare hats sioni mwingine. Hakika wewe sikuachi wala kukusaliti. Nasikia tu kuwa mpnz yanaumiza kwako siijui chungu hii. U mpenda amani upendo na mshikamano. Daima umekuwa nguzo yangu na msaada kila ninapokuhitaji. Naahidi nitakurinda na kukutunza kutoka ndani ya moyo wangu nathubutu kusema nakupenda sana. My dearest. Unipae usingizi. TANZANIA nchi yangu, wewe no mpnz wa kweli kwangu. Asante kwa kunipenda. Nakupenda pia.
 
nyege zako dhidi ya nchi zitaisha pale mwanao atakapokosa mkopo
 
Ana Ashki na Bongo....Tz tu inakutia nyege hivyo..je ukiiona DUBAI...si utajipigia mabao barabara nzima.....ASHQIMAJUNUUN...eti nakupenda TANZANIA....
 
Back
Top Bottom