Nakupenda Kritika

Nakupenda Kritika

The Common

Member
Joined
Jun 13, 2017
Posts
37
Reaction score
172
Nakuja mbele yenu wana-MMU kutangaza wazi kabisa kwamba nampenda huyu mrembo wa kuitwa kritika . Kilichonivutia kwake
Japo nimeoa, naahidi kukupenda katika shida na raha, utamu na uchungu, ups na downs zooote.
Msishangae kuona nimeoa halafu namtongoza kritika , mwenzangu amepitia machungu mengi kama nilivyopitia mimi.

Kilichofanya nikaja mbele yenu wana MMU kutangaza nampenda kritika ni hiki hapa chini👇.

Screenshot_20201009-100819.jpg
Screenshot_20201009-101021.jpg
Screenshot_20201009-100929.jpg
Screenshot_20201009-100940.jpg
Screenshot_20201009-100738.jpg
Screenshot_20201009-100918.jpg
Screenshot_20201009-100902.jpg
Screenshot_20201009-100837.jpg
Screenshot_20201009-100720.jpg
Screenshot_20201009-100951.jpg
Screenshot_20201009-100804.jpg
Screenshot_20201009-100753.jpg
Screenshot_20201009-100848.jpg
Screenshot_20201009-101000.jpg
 
imsitujazie server,Mods futa huu upotolo..umelenga kumdhalilisha member (Character assasination),hapa unajuaje huyo kritika ameamua kuvaa tu uhusia na labda ni mke wa mtu mwenye watoto???....

Umekuwa msemaje wake? Love doesnt ask why, huo uhusika aliovaa ndio niliompendea. Mambo ya kuolewa na kuwa na watoto subiri aje ajibu mwenyewe, usimsemee.
 
imsitujazie server,Mods futa huu upotolo..umelenga kumdhalilisha member (Character assasination),hapa unajuaje huyo kritika ameamua kuvaa tu uhusia na labda ni mke wa mtu mwenye watoto???....
Unapenda Sana kuwa Command Ma'mods kila leo wewe ni kutoa tuu Order Mara futa hiki, Mara fanya kile as if wao hawajui kazi yao

Hata Huyo KITIRIKA mwenyewe haja Comment chochote wewe ushakuja Na Character Assasination zako

Imagine KITIRIKA anakuja alaf na yeye aseme anampenda pia THE COMMON, Hivi utajiskiaje Madame Navaa viatu vyako havinitoshI [emoji3][emoji3][emoji3]??
 
Nakuja mbele yenu wana-MMU kutangaza wazi kabisa kwamba nampenda huyu mrembo wa kuitwa kritika . Kilichonivutia kwake
Japo nimeoa, naahidi kukupenda katika shida na raha, utamu na uchungu, ups na downs zooote.
Msishangae kuona nimeoa halafu namtongoza kritika , mwenzangu amepitia machungu mengi kama nilivyopitia mimi.

Kilichofanya nikaja mbele yenu wana MMU kutangaza nampenda kritika ni hiki hapa chini[emoji116].

View attachment 1594823View attachment 1594824View attachment 1594825View attachment 1594826View attachment 1594827View attachment 1594828View attachment 1594829View attachment 1594830View attachment 1594831View attachment 1594833View attachment 1594834View attachment 1594835View attachment 1594836View attachment 1594837
Unaijua historia yake lakini?
 
Unapenda Sana kuwa Command Ma'mods kila leo wewe ni kutoa tuu Order Mara futa hiki, Mara fanya kile as if wao hawajui kazi yao

Hata Huyo KITIRIKA mwenyewe haja Comment chochote wewe ushakuja Na Character Assasination zako

Imagine KITIRIKA anakuja alaf na yeye aseme anampenda pia Hivi utajiskiaje Madame Navaa viatu vyako havinitoshI [emoji3][emoji3][emoji3]??

Mnhhhhh again, Mods futa huu upotolo.....hata wewe ukitaka kudhalilishwa nitawaambia mods wafute,ni responsibility ya kila mwanajeiefu..kulinda wengine, as for mods, ni kweli ukiwaambia wafute wanaangalia contents kama zimelenga kumu harass mtu wanazifuta,na wao ni binadamu therefore inapaswa kuwakumbusha, mwisho unaweza kuniweka kwenye ignore list, kama hufagilii ninachoandika.bye.
 
Back
Top Bottom