The Common
Member
- Jun 13, 2017
- 37
- 172
imsitujazie server,Mods futa huu upotolo..umelenga kumdhalilisha member (Character assasination),hapa unajuaje huyo kritika ameamua kuvaa tu uhusia na labda ni mke wa mtu mwenye watoto???....
Umekuwa msemaje wake? Love doesnt ask why, huo uhusika aliovaa ndio niliompendea. Mambo ya kuolewa na kuwa na watoto subiri aje ajibu mwenyewe, usimsemee.
Unapenda Sana kuwa Command Ma'mods kila leo wewe ni kutoa tuu Order Mara futa hiki, Mara fanya kile as if wao hawajui kazi yaoimsitujazie server,Mods futa huu upotolo..umelenga kumdhalilisha member (Character assasination),hapa unajuaje huyo kritika ameamua kuvaa tu uhusia na labda ni mke wa mtu mwenye watoto???....
Unaijua historia yake lakini?Nakuja mbele yenu wana-MMU kutangaza wazi kabisa kwamba nampenda huyu mrembo wa kuitwa kritika . Kilichonivutia kwake
Japo nimeoa, naahidi kukupenda katika shida na raha, utamu na uchungu, ups na downs zooote.
Msishangae kuona nimeoa halafu namtongoza kritika , mwenzangu amepitia machungu mengi kama nilivyopitia mimi.
Kilichofanya nikaja mbele yenu wana MMU kutangaza nampenda kritika ni hiki hapa chini[emoji116].
View attachment 1594823View attachment 1594824View attachment 1594825View attachment 1594826View attachment 1594827View attachment 1594828View attachment 1594829View attachment 1594830View attachment 1594831View attachment 1594833View attachment 1594834View attachment 1594835View attachment 1594836View attachment 1594837
Unapenda Sana kuwa Command Ma'mods kila leo wewe ni kutoa tuu Order Mara futa hiki, Mara fanya kile as if wao hawajui kazi yao
Hata Huyo KITIRIKA mwenyewe haja Comment chochote wewe ushakuja Na Character Assasination zako
Imagine KITIRIKA anakuja alaf na yeye aseme anampenda pia Hivi utajiskiaje Madame Navaa viatu vyako havinitoshI [emoji3][emoji3][emoji3]??
Kulikuwaga na Richabra alikuwa na tabia hii hiiMwanaume, wanaume, mwanaume!
.nyuzi karibia 50, ndio kitu pekee anachowaza!