Nakupenda lakini sikupi mwili wangu hadi unioe.

Nakupenda lakini sikupi mwili wangu hadi unioe.

Mcheza Karate

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2011
Posts
690
Reaction score
350
Eti wadau tujuzane, hivi mambo kama haya bado yapo?

Nimempata mdada mmoja lakini anadai simvui hadi nimwoe, siku ya harusi ndo ataanza kutoa.

Kakiri kuwa yeye sio bikra lakini anadai hataki kufanya aliyofanya nyuma. Naona kama ananizingua vile. Wadau nahitaji ushauri wenu.

Nawasilisha!!!!!!!
 
Si yeye peke yake mwenye K.

Kama anakubania K yake tafuta K nyingine uwe unamega.

Ni hivyo tu.
 
Nami muiraq wangu anamsimamo huo huo! Kumbe cpo peke yangu.
 
Cha msingi sio mikasi japo inaumuhimu wake katika kukoleza penzi. Cha muhimu hapo ni je anakupenda? Kama unakiri anakupenda sasa unashindwa nini kusubiri?
 
kwani wewe una mpango gani naye? au uliingia kwa gia ya kumuoa wakati in actual fact unataka umege tu halafu usepe?
 
Sidhani kama kuna binti wa aina hii!
 
Mwanamke ambaye anafikia mpaa kusema yeye hana bikra, ujuwe kisha kupa green light nikiasi cha kuendelaza maombi tu utapewa.

Wangapi hawana bikra lakini hawawezi kusema hayo.
 
Naona mistari yako haijamuingia huyu mdada,chamsingi jipange au songa mbele kutafuta huyo keshokujua kamba zako.
 
Mwanamke ambae una mpango wa kumwoa unashindwa kumshawishi akupe? That's bigest weakenes! That means, mpaka sasa hujaweza kumfanya akuamini! Jipange upya!
 
kimbia kimbia , yaani ukiona anaujasiri wa kusema hapana kwako, ujue kwa mwingine anavua Chupi bia hata kuombwa, wanawake wasanii yaani kama machinga vile, akikuona wewe dhaifu anaku treat that way , angekuwa bikra labda, ila chombo imetumika alafu bado analeta ngumu , Aiseee hiyo haikubaliki kabisa, mzeee kama akigoma kabisa bora uangalie ustarabu wako sehemu nyingine
 
Mkuu tafwazariiiiii..... wanasheria wanasema hivi.... A BUYER MUST BE AWARE. kwa hali ya sasa huwezi kuingia mkenge kuoa mtu bila kujaribu kujua kunanini..! Vinginevyo labda kama una risk take mwisho wa siku ukute mbichi au mbivu mkuu. Mbona wengine huwa wanazikimbia kwa kutoamini walichokikuta ni bora ujue mapema kabla hujaingia mkenge mkuu.
 
kuoana vs kuingiliana b4 ndoa. two terms that are negatively correlated. FACT
 
Back
Top Bottom