Nakupenda lakini sikupi mwili wangu hadi unioe.

mi sikubaliani na wewe Paty kwasababu"IF ONE ROOM CAN BE OPENNED BY MANY KEYS NO ONE WOULD WANT TO KEEP ANYTHING IN THAT ROOM YOU GAT ME" ASA AKIMPA AFU JAMAA AKASEPA INAKUWA IMEKAA VIBAYA , KAMA JAMAA KAFALL KWA HUYO MDADA ASUBIRI TU AU AMUOE TU ATAMPA 24/7
 

yaelekea kuna baadhi ya mijianaume kama wewe ina poor mental attitude ya kutaka kujaribu kwani bahati nasibu hiyo mijianaume mingine zipu nje nje khaa
 


Nafikiri anafanya maamuzi sahihi, hataki kurudia makosa aliyoyafanya huko nyuma ya kumvulia mtu nguo halafu anaachwa kwenye mataa. Wewe unafikiri angekuwa anaendekeza na kuvua nguo hovyo kwa kila mwanaume anayekuja na gia la kuoa, si angekuwa changudoa kabisa?

Cha msingi ni kumfanyia uchunguzi kama kweli huwa hagawi pia na kwa wengine kisirisiri na ukigundua ana uaminifu wa kiasi hicho, nafikiri kuwa mvumilivu kajitambulishe kwao uoe kama una nia hiyo. Kama lengo lako lilikuwa ni kuchapa na kuondoka, basi nafikiri hatma yako ndo imefikia mwisho. Pole.
 

upuuzi mtupu,tena huyo kashaliwa hata tigo lakini eti sikupi mwili pumbav kabisa!
 
Bora wadada wameshtuka, mmezoea kuwachezea tu mwisho wa siku mnawaacha kwenye mataa, hadi wengine wanajutia kuumbwa wanawake!
mito ma bro unaakili sana. Mimi bado namuuliza huyu mkaka hivi mwanamke ni kitu gani kwako? yaani hadi umvue ndipo uone raha? hivi kwanini msivumiliane hadi siku ya ndoa? binafsi sitaki kufunguka sana hapa manake utasema nime kukaripia.

nakuachia swali hili- hivi ingekuwa na kabinti kako ka pendwa sana mtu anataka akarushe maji halafu hajafunga naye ndoa akaja kukuambia wewe kama baba utamshaurije binti yako?
 
Last edited by a moderator:
upuuzi mtupu,tena huyo kashaliwa hata tigo lakini eti sikupi mwili pumbav kabisa!

mkuu si kwakua na hiyo tigo ulimla wewe?

Jamani wanawake tumechoka sasa na kashfa na matusi yenu kwetu. Leo binti keshajua alikosea kurushwa maji pasi focus kaamua kuacha hiyo tabia bado mnamzodoa eti hata ya nyuma hana. hivi niwaulize maswali wangapi hapa ni wakaka tukipima marinda tutayakuta? ama ni kwakua sisi huwa hatuyasemi haya? tunajua kabisa sio wanaume wote wana marinda walikoyapeleka wapi? mbona sisi hatuwavunjii heshima kiasi hicho?

sasa natamani kweli mdada aje na mada kuwa mpenzi wake hana marinda hapa tuone mtasemaje na tutaanzisha darasa la ukaguzi yanatakiwa yawe 96 vileee sasa ole wa youle tutakayokuta 40 ama hata 89 tu utasema moja umepekleka wapi. tumechoka bwana msitudhalilishe.
 
unajua nn? Unapokwenda kumtambulisha bint kwenu/ kwa wazee wako lazima ukutane na maswal kama haya::
mnafahamiana vzr na huyo bint tena kwa msisitizo?
Wazee wana maana yao kuuliza hvyo il baada ya ndoa usije ukaleta malalamiko nadhan nimeeleweka.
 
yaelekea kuna baadhi ya mijianaume kama wewe ina poor mental attitude ya kutaka kujaribu kwani bahati nasibu hiyo mijianaume mingine zipu nje nje khaa

Mama yangu usiwe na hasira hata kidogo. Zamani mababu zetu walikua wanaoa wakijua kabisa wanakuta mke akiwa bikra nikiwa na maana hajatumika kwa lugha nyepesi. Kwahiyo haikua hofu kuoa

Pia dada yangu mie ckatai ww kutohakikisha maligafi ila unaweza ukasubiri ukakuta kumbe huyo mmeo mtarajiwa ana kasoro zifuatazo:

1. DHAIFU (maligafi hazifunction kabisa)
2. Ana maligafi ndefu kam mto Nile hivyo ni ngumu kuhimili vishindo unless afunge kitu ya kupunguza urefu.
3. Shoga au Bwabwa

Kumbuka hizi kasoro unakuja zijua baada ya ahadi za kufanya tendo la ndoa mpaka kiapo.

Si ndo kuanza kutafuta mabwana wa nje ili kukidhi mahitaji ya kimwili na kusahau kiapo cha shida na raha na kilakitu.

Mie nadhani ni busara kuonjeshwa kidogo na sio kupewa mpaka ukinai.
 
Sasa wewe hisia zako utazipeleka wapi?
Jaribu kumuelewesha isije ikawa wengine wanapewa alaf wewe usubiri mpaka siku yandoa, kataaa!
Kama siyo bikira na wewe una haki ya kuonja kama wengine walivyo onja kabla ya ndoa!

Usikubali kila kitu kisa mtu kakwambia mtafunga ndoa, labda kama ndoa hiyo ni wiki hii.

Tatizo wewe hisia zako na midadi utavipeleka wapi? Hapo sioni faida yake!
 
Wanaume tumetofautiana maisha tuliopitia before. Na hayo maisha ndio yanayoweza kukufanya uwe unaamini kirahisirahisi au ukawa mchunguzi kabla ya kuamini. Sifahamu network yako ya marafiki ni kubwa kiasi gani,hii inaweza ikasaidia kwa uchunguzi na sio tu kwa kukuletea habari tu,ila kwa kukupeleka kisirisiri sehemu ya matukio ukaona mwenyewe ukweli huyo dada ni wa aina gani. Mara nyingi ukiona mwanamke anakueleza maneno ambayo ni kitendawili ujue ame-under-estimate uwezo wako wa kuelewa. Mara nyingi wanawake wa aina hiyo huwa wao ndio wanabembeleza wanaume wengine ambao wanawaona/wanadhani ni babu kubwa.
 
Kuna kitu sio sahihi; endelea umchunguza huyu dada kabla ya kumuoa na wewe usiwe na haraka ya kuoa mkuu. Nahisi bado anammpezi wake wa zamani bado anagonga. Amekuambia kuwa yeye sio bikra ili usishangae baadae.
 

kama umekubali vumilia, lakini kama unaona anakuzingua, na wewe mnyime ya kwako. Inakuwa ngoma droo
 

Please mtoa mada nifahamishe mwenzio sijapitia unyago, hivi marinda ni nini, maana nisije siku nikaumbuka na mimi kwa kutokuwa na marinda wakati labda kuna njia za kuyarudisha hata kama ni za kichina china
 
Si yeye peke yake mwenye K.

Kama anakubania K yake tafuta K nyingine uwe unamega.

Ni hivyo tu.

Da!!!
Sidhani kama kuna binti wa aina hii!
Toba!!!!!
uskubali huo ujinga..
Salaaale!!!!!!
Hili nalo neno!!!
Bora wadada wameshtuka, mmezoea kuwachezea tu mwisho wa siku mnawaacha kwenye mataa, hadi wengine wanajutia kuumbwa wanawake!

Hii imekaa vizuri.
 

na
kama,ni,bikra
unamshauri
nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…