Na unaweza kumkamata cheater kwa maneno tu...ukianzisha dirty discussion kwenye simu afu yeye yuko na mtu pembeni lazima ajione mdogo na aume ume maneno.
Mi napenda huo utamaduni aisee...it makes me feel confident.
ni bora sana kuliko mimi pia au angesema asanteKwa case ulozungumza wewe mi naona hayo maneno yana maana kubwa sana. Its good ukiwa na jamaa anayeweza ku declare publicly feelings zake kwako.
Ningechukia angesema "me too"
Mimi wa hivyo anakuwa keshaniloga walahi. Napenda kweli maneno matamu, hasa yakitamkwa adharani.
Kwani ukimwambia kuna tatizo gani? Unaogopa watu watakufikiriaje?Au wewe mwenyewe hutaki kukubali hilo mbele ya watu?nyumba kubwa na CUTE Me nafikiri kuna mahali pa kujiachia na mahali pa kutojiachia. imagine upo kazini / katika biashara zako umezungukwa na watu mara mumeo anakupigia mnazungumza then mwisho wa maongezi anakwambia nakupenda mke wangu je utaweza kumjibu vivyo hivyo? je ni sawa ama mimi ndio nakosea?
Kwani ukimwambia kuna tatizo gani? Unaogopa watu watakufikiriaje?Au wewe mwenyewe hutaki kukubali hilo mbele ya watu?
nyumba kubwa na CUTE Me nafikiri kuna mahali pa kujiachia na mahali pa kutojiachia. imagine upo kazini / katika biashara zako umezungukwa na watu mara mumeo anakupigia mnazungumza then mwisho wa maongezi anakwambia nakupenda mke wangu je utaweza kumjibu vivyo hivyo? je ni sawa ama mimi ndio nakosea?
YES and NO.
Anaweza akawa na kimada bado akatamka hayo maana kimada haogopeki na wengi wao hua wanajulishwa kabisa kuwa mwenye nyumba yupo.
Au. . .anaweza akawa anamaanisha na wala haoni ugumu kutamka hivyo mbele ya watu kwasababu anajivunia wewe kuwa mume/mke wake. Hii ya pili ni raha sana. Hata pale anapokuwa haishi kukusifia/sema anavyokupenda kwa watu wake wa karibu wakati wewe haupo. Unaishia kuambiwa tu siku ukikutana nao.
Na unaweza kumkamata cheater kwa maneno tu...ukianzisha dirty discussion kwenye simu afu yeye yuko na mtu pembeni lazima ajione mdogo na aume ume maneno.
Mi napenda huo utamaduni aisee...it makes me feel confident.
nyumba kubwa na CUTE Me nafikiri kuna mahali pa kujiachia na mahali pa kutojiachia. imagine upo kazini / katika biashara zako umezungukwa na watu mara mumeo anakupigia mnazungumza then mwisho wa maongezi anakwambia nakupenda mke wangu je utaweza kumjibu vivyo hivyo? je ni sawa ama mimi ndio nakosea?