Nakupenda sana mume wangu

AMINATA 9

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2011
Posts
2,120
Reaction score
642
inabidi kitanda kiwe na vyuma juu vya yy kuweza kumsaidia wakati wa kusimama.........wat a lovely smile he has
 
mmmmhhh, mi mtanisamehe ila nadhani siwezi kubaki... love ain't that blind
 
heading nzuri nimekimbilia kufungua ,.....aaa umenikata
 
[h=2][/h]
inabidi kitanda kiwe na vyuma juu vya yy kuweza kumsaidia wakati wa kusimama.........wat a lovely smile he has

wa kusimama tu ndiyo anamsaidia au humsaidia kusimamisha mambo yote............................yanayohitaji kusimamishwa..........
 
Wasiwasi upo kwenye uume wa jamaa
 
Kwa sababu amemchagua, basi hana budi kumpenda na kumvumilia kwa kila hali na kumsaidia pia!!
 
Hapa ndo pale unapoangalia tafsiri ya Mapenzi.... Ya kweli na dhati pia... Kwamba kumjali mwenzio no matter what or yupo vipi.... BUT then narudi nyuma na kujiuliza... huyo mwanamke anapokua na huyo mwanaume ambae ni dhahiri hamridhishi... Je ni ruksa kutoka nje na asiwe judged?? Je sababu the guy is made that way kama mkewe anaridhishwa nje atakubali tu na kuridhia.... Kwamba roho yake sio nyama.... Kwamba because he is big basi roho yake nayo ni that Big....

Nikirudi kwenye picha... kuacha kupamba maneno na kuonekana ni wema... Hio hali ni mbaya kwa kweli... Ndio waweza kuta the guy was normal before ndo akaja kua hivo... ofcoz siwezi kumkimbia for sasa hio sio overweight tena ni ugonjwa... swali inakua kua I as a Woman.... Will i be freely allowed by the man nipate mahitaji ya Sex nje?? yaani kazi kweli kweli....
 
heading nzuri nimekimbilia kufungua ,.....aaa umenikata
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nilijua lazma uvamie tren kwa mbele ona sasa imekugonga loh! hahaaaaaaaaaaaaaaaa u made ma day boy
 

umenena vema ...........me love u sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…