Nakupenda sana mume wangu

mnh ni ndoa tunazozijua ambazo tendo la ndoa linakuwepo,au ni companionship....kweli kila mtu anadefine maisha anavyojua yeye,,,,,,
 
mnh ni ndoa tunazozijua ambazo tendo la ndoa linakuwepo,au ni companionship....kweli kila mtu anadefine maisha anavyojua yeye,,,,,,
ahhaaaaaaaaaaaaaa umeonaeee
 
Looo kweli mapenzi ni kuvumiliana hasa kama yapo, hapo kama alikuwa anakutesa na kukufanyia kila aina ya vituko akaja akapata hiyo obesity utaweza mvumilia, wanawake nahisi tunaweza... kama tu kulikuwa na real love ila sijui ile mambo ya alfu mia mbili inakuwaje
 
thats true mamito................me love the signature of urz so much
 
Miili mingine inashukrani ati. Mtu ananenepa mpaka anakuwa kama nyangumi!
 
ni kibamia ...........upo

Ni kweli upo, ila utakuwa umezama kwenye manyama ya uzembe, na kinatumika kwa shughuli ndogo ndogo tu. Mtu wa namna hii ni lazima ana chronic high blood pressure, kisukari nk. Ni wa kumhurumia tu na hicho kibamia chake!
 
Ni kweli upo, ila utakuwa umezama kwenye manyama ya uzembe, na kinatumika kwa shughuli ndogo ndogo tu. Mtu wa namna hii ni lazima ana chronic high blood pressure, kisukari nk. Ni wa kumhurumia tu na hicho kibamia chake!

Mlivyokikazania kibamia cha watu!!!!! Mnajuaje lakini kama ana kibamia na sio mtalimbo?
 

Kunenepeana namna hii ni hatari,sijui kama ni ugonjwa au...kama alimwoa akiwa mwembamba basi huyu bingwa ni mbinafsi sana...ili tuwe mwili mmoja basi ni vizuri tukitiisha miili yetu kwa faida/mapenzi ya wenzetu.. namaanisha kunenepeana ndani ya ndoa ni ubinafsi wa hali ya juu... Asha ni hatari kunenepa/kunenepeana ktkt ya mahusiano....wanaume wengi tunaikubali hiyo hali kwa shida sana na hatuwi wakweli (shida huanzia hapa) kwa wenzetu..
 
Ndoa hz! Ila style zipo nyingi jamaa ukute yupo fit kinyama. Dont judge a book by its color guys.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…