Nakupenda sana yna2

acha na mimi nifunguke kwani sh ngapi zero? unajua nini Shunie yaani kila unaponigongea likes tu kwenye comments zangu roho yangu kwaaaatu kamoyo kanavodunda dunda sasa duuuh!!! utadhani kitenesi sakafuni mnyamwezi nasisimka kinoma noma huwezi amini sina lingine la kusema zaidi ya ""I LOVE YOU"" shuni[emoji177] [emoji177] [emoji177] [emoji177]. Ila punguza kupenda mihela sana wengine tunachembe chembe za kipare wabahili kinyama[emoji3] [emoji3] [emoji3] cc: NAHUJA.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Ongera sana mkuu kwa kutoa ya Moyoni nafikiri kwa sasa uko huru?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wallaha zero umejua kunifurahisha mwenzio...khaa!!!ndio nini kunisuprise hivi mwenzio??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wallaha zero umejua kunifurahisha mwenzio...khaa!!!ndio nini kunisuprise hivi mwenzio??
Tatizo ni moyo mamy kila nikiomba nafasi ya kuja PM kwako unanibania ulitaka nikasemehe wapi mie hisia zangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…