UnanisingiziaHuyo atakusumbua mkuu,ana maneno fulani ya shombo saana
Kazi kwako sasa Zero IQI love you too bebe zero iQ
[emoji23][emoji23]Nitayatoa kwa kumpa penzi makinikia mkuu
[emoji33][emoji33][emoji33] kumbeee!!Yupo kati ya wale wanawake watatu unaoshindwa uchague yupi wa kuoa au ndio nayeye unamuongeza kwenye list?
[emoji3][emoji3][emoji3]Chit chat imepoa sana siki hizi hakuna kapo mpya zinazozaliwa
Yote hii kasababisha yule rais wa Russia
Shem huu mwandiko wako kweli?Kwa ule mtambo sidhani
It's true baby basi wale wenye wivu walioona nitafua dafu wajaindalie kamba za katani wakajitundike
Nije kuchukua tena jamani!!??[emoji134][emoji134][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] chipsi baby njoo tu uchukue sasa unafikiri nafanya kazi kwa ajiri ya nani?
ile ilikuwa chai tu baby huyu kakaza mi nakupenda wewe tu sinaga mtu mimi ni bizy na kuchoma chipsi tu
Ndio nimeshaulamba hivyo nyie bakini na maupendo yenu moyoni moyoni
Nije kuchukua tena jamani!!??[emoji134][emoji134]
Sio uniletee huku nilipo?
Baby kazi zitafanyika kweli!?[emoji14]Baby panda uber nitalipa nataka uje unibebishe kidogo hapa kazini
Aah shemela ..wewe kasimamie ofisi nataka bebe aje mwenyeweHaaaaa ngoja nikachukue nikuletee shemelaaaa