INFOT 23
Member
- Jul 14, 2016
- 18
- 12
Ninaposema Tanga, simaanishi Korogwe au Handeni, ninamaanisha Tanga haswaaa Tanga walipo majini watu wa kike, kiukweli Tanga imebarikiwa sana, kama unabisha we bisha tu.
Tukianza na lafudhi, kiukweli Mungu kawajaalia wanaongea utadhani wameshushwa kutoka lafedheuni.
Pili, maumbo yao, mmmmmh! Hapa sasa sisemi kitu, shahidi mwenye wivu miss chaga, kisa sisifii Kilimanjaro.
Kitandani sasa, aisee ukiwa nae bed huwezi kumsahau maisha yako yote, ole wako umchanganye na wanawake wengine umekwisha.
Tanga raha sana.
Tukianza na lafudhi, kiukweli Mungu kawajaalia wanaongea utadhani wameshushwa kutoka lafedheuni.
Pili, maumbo yao, mmmmmh! Hapa sasa sisemi kitu, shahidi mwenye wivu miss chaga, kisa sisifii Kilimanjaro.
Kitandani sasa, aisee ukiwa nae bed huwezi kumsahau maisha yako yote, ole wako umchanganye na wanawake wengine umekwisha.
Tanga raha sana.