Nakupenda Wema Sepetu

mlogolaje

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2016
Posts
1,509
Reaction score
813
Kati ya yote ulopita sijaona la kunifanya nisikupende

Mm si tajiri ila ninauwezo wa kukupa furaha na amani

Na zawadi yangu kubwa kwako in penzi la dhati na nakuahidi sitafanya jambo la kukuhumiza,Fanya namna yoyote tuwasiliane ukiweza njoo mbeya mabatini stendi
 
Huku anapitaka kweli? kwa uhakika kabisa ungemfata instagram kule ndiochimbo lao
 
Unampenda VALENTINE
 

Attachments

  • FB_IMG_1486666125034.jpg
    23.8 KB · Views: 40
Hahahahahahaha.................kaka vip hapo mbalizi road mchujo unapatikana..?..hebu nikumbushe hiv huu ndo msimu wa ulanzi.........?
 
Hahahahahahaha.................kaka vip hapo mbalizi road mchujo unapatikana..?..hebu nikumbushe hiv huu ndo msimu wa ulanzi.........?
Upo karibu sana ila Mimi situmii,Ndio ni msimu coz nawaona wanalewa na magari yanauleta,nitafutie wema pls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…