mTZ_halisi
Member
- Oct 26, 2007
- 82
- 2
kuchikuchi otae.
Mbona hii imekaa kama vile unamwimbia mtu kwamba...nakutongoza?
Hivi kwa kichina itatamkwa na kuandikwaje hapa?
Kwa kimasai tunasema..ngongongo na ngale!!!
Rose tutakuwa tunashare tribe wewe
NGUGANILE FIJO (Kinyakyusa)
hey i was gona right that one too lol
mama ni wa kipande hiyo ( Mbozi ) lol
hebu sogea hapa nikunong'oneze kuwa nakupenda
Hebu njoo hapa uninong'oneze mm.....japo naua wanipenda, NAPENDA KUNONG'ONEZWA sana mm!hebu sogea hapa nikunong'oneze kuwa nakupenda